MACHAFUKO THAILAND kiongozi wa upinzani apigwa risasi

MACHAFUKO THAILAND kiongozi wa upinzani apigwa risasi

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Kiongozi waandamanaji wanaopinga uchaguzi mkuu kufanywa mwezi ujao apigwa risasi na kufa leo katika vurugu zinazoendelea nchini humo.mungu atuepushe kwa siasa zetu za tz tusifike huko.
 
Kwa jinsi Chadema wanavyopenda kufanya maandamano hata kwa jambo la kipuuzi ambayo husababisha vurugu, ningefurahi siku moja kusikia vijana wa Mangu wamewatandika risasi za kisogo vinara wa maandamano Mbowe wa Slaa!
 
Back
Top Bottom