Tatizo unaziamin akili zako kuliko aliye ziumba hizo akilHakuna cha taifa teule ni mtindio wako wa ubongo ulivyoaminishwa na vitabu walivyokuja navyo Africa, na kutuambia tufumbe macho kuja kufumbua wakawa wamebeba Mali zote, na bado unapigishwa magoti na kufumba macho na ubongo wako pamoja na kujua kusoma na kuandika lugha kadhaa. Hivi vyakula vya kizungu vimeleta athali Sana mutindio wa ubongo na nguvu za kiume na kutofikiri kabisa.
Dunia,kwani Biden ni nani? Ana mtazamo wako kama wengine lakini dunia ikikwamulia utakubali tu.Which Dunia unaiongelea? Hii Dunia ya kina Biden wanaosema Israel ina haki ya kujilinda au ni Dunia ya waliopewa hadhi ya (Wakimbizi) wanaopiga kelele?
Wanajua Marekani kwa adui yao ni salama kuliko nyumbani kwao. Hapa ni utata mtupu.Hili swali hutojibiwa,hata wanaorusha mawe wanadream kwenda kuishi Marekani,hapa ndipo tatizo linapoanzia.
Nimecheka hadi niliyekaa naye amenishangaa. Kwa kuwa sipendi ajue niko jf nimeamua nisimame niondoke.Ukitoa hiyo condition kesho huoni mtu barabarani.
Vitendo vya boko haramu mbona hawaandamani? Hamasi walipoanza kurusha maroketi kwenda Israel mbona hawakuandamana? Maana wangeandamana kupinga kurushwa roketi ya hamasi ndani ya Israel machafuko yasingefikia yalipofika sasaWaandamanaji sio wapalestina ni raia wanaoumizwa na vitendo vya Israel
Kabisa hata mm naonaNetanyahu kafanikiwa kucheza Siasa vyema nchini mwake
Alikuwa anakabiliwa na upinzan mkubwa sana nchini mwake wa kisiasa, mbinu hii ya kuwa provoke wa Palestina imekuwa inatumika mara kwa mara kuzima upinzani wao wa ndan wa kisiasa
Dunia,kwani Biden ni nani? Ana mtazamo wako kama wengine lakini dunia ikikwamulia utakubali tu.
Unakumbuka maandamano ya BLM? Si dunia iliandamana,mbona yule askari ameshtakiwa japo mzungu?
Nimecheka hadi niliyekaa naye amenishangaa. Kwa kuwa sipendi ajue niko jf nimeamua nisimame niondoke.
Yaani ikitangazwa kurudi kwao tu maandamano yanaahirishwa. Wanaogopa kurudi kwao?
tumeshachoka habari zao na elimu ahera yaoRaia wasio na hatia unafurahia kufa?
kashasema yuko na anasimama na IsraelWanajua Marekani kwa adui yao ni salama kuliko nyumbani kwao. Hapa ni utata mtupu.