Rocky City
JF-Expert Member
- Nov 22, 2017
- 874
- 662
Hiki ni kiwanda cha sukari cha Mkulazi kilichopo Dakawa ni kiwanda tunacho ambiwa kikubwa Afrika Mashariki na kati. kwa kuzalisha sukari.
Mzee Magufuli alipambania Tanzania ya viwanda na huenda hicho ni moja ya jitiada zake, RIP, lakini kiwanda hiki serikali ya sasa kwa mambo yanavyo kwenda sioni uhai wake kwa mambo yafuatayo.
1. Managements mbovu sana
2. Nimefika pale vibarua wanafanya kazi over dose kibarua akienda pale kesho hawa wa mashambani wanapigwa mzigo mzito sana, hapa sio shida punda afike mzigo ufike.
3. Hili ndio lilolo nishangaza sana, malipo ya vibarua yanalipwa mikononi yani wanapanga foleni ndani ya kiwanda humo wanalipwa sh 6500 asubuhi hadi jioni saa kumi, hakuna chakula wala nini, huu ni unyanyasaji wa hali ya juu sana.
4. Kwanini malipo haya yalipwe mkononi hapa ndio mwanya wa rushwa ulipo, tena kuna wengine walilamika pale kuwa kuna wakati wanalipwa sh 6000 mia tano zao wanaambiwa chenji inasumbua.
, huu ni ukandamizaji mkubwa kwa Watanzania hawa, serikali ifatilie hili jambo.
4. Ofisini watu wanapiga story tu na vicheko muda wote miguu juu huku, ofisi zingine wazi tangu sa 3 hadi sa 6 mtu alikwenda kunywa chai kiwanda hiki pesa ya serikali imepotea tu.
Mzee Magufuli alipambania Tanzania ya viwanda na huenda hicho ni moja ya jitiada zake, RIP, lakini kiwanda hiki serikali ya sasa kwa mambo yanavyo kwenda sioni uhai wake kwa mambo yafuatayo.
1. Managements mbovu sana
2. Nimefika pale vibarua wanafanya kazi over dose kibarua akienda pale kesho hawa wa mashambani wanapigwa mzigo mzito sana, hapa sio shida punda afike mzigo ufike.
3. Hili ndio lilolo nishangaza sana, malipo ya vibarua yanalipwa mikononi yani wanapanga foleni ndani ya kiwanda humo wanalipwa sh 6500 asubuhi hadi jioni saa kumi, hakuna chakula wala nini, huu ni unyanyasaji wa hali ya juu sana.
4. Kwanini malipo haya yalipwe mkononi hapa ndio mwanya wa rushwa ulipo, tena kuna wengine walilamika pale kuwa kuna wakati wanalipwa sh 6000 mia tano zao wanaambiwa chenji inasumbua.
, huu ni ukandamizaji mkubwa kwa Watanzania hawa, serikali ifatilie hili jambo.
4. Ofisini watu wanapiga story tu na vicheko muda wote miguu juu huku, ofisi zingine wazi tangu sa 3 hadi sa 6 mtu alikwenda kunywa chai kiwanda hiki pesa ya serikali imepotea tu.