naan ngik-kundie
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 1,766
- 2,420
Weee una uhakika hapendi wanaume ?lkn ww si umesema haupendi mtu na Miss hapendag wanaume kabisa
Weee una uhakika hapendi wanaume ?lkn ww si umesema haupendi mtu na Miss hapendag wanaume kabisa
na uhakika si kutokana na mwenyewe anasema hawapendiWeee una uhakika hapendi wanaume ?
umenoaSijaisoma Ila hii mada haikosi segment ya HELA....
Huna mpango wa kuwa na watoto?,sababu punyeto haina uwezo kukupa mimba..SIO MIMI AISEE !SIPO HUKO TENA KAMWE NIPO KWENYE ULIMWENGU MWINGINE AM LIVING MY REAL LIFE NOW!
Haya bwana wacha nibakize hakiba ya manenona uhakika si kutokana na mwenyewe anasema hawapendi
kikiwa cha kujirudia lazima mzungumze .. swala la kupuuza nishauri zaidi wenye ndoa as long as hakudharau , hakupigi, anatunza familia na malengo ya maendeleo yanaenda just ignore himMae umeongea vyema sana, ubarikiwe sana
Hapo point ya nne, ni vizuri kupuuzia au kuchukulia poa baadhi ya mambo (I mean Kuwa positive), but ikiwa ni kitu kinachojirudia sana, basi hakitakiwi kuwa kitu cha kupuuziwa, kinaweza pia kuwa red flag
Nilikuwa na rafiki angu college. Yeye kila ikifika saa 4 usiku, ikitokea wanaongea na simu usiku, boyfriend anajifanya amesinzia ghafla zzzzzzzz , inabidi shosti anakata simu (he he he nacheka kama mazuri, sijawahi kuona ule usingizi), . Shosti akipiga simu after hata nusu saa hivi anakuta simu ya bae ipo busy, (usingizi umekata ghafla) na hatotafutwa hadi kesho hiyoo. Akawa ana-assume kweli kapitiwa usingizi, ila baadaye Shosti etu "alipatwa"
Kuna babes wana mahaba hao j3 hadi ijumaa mchana, weekend ikianza tu mahaba kushney, ni hadi umtafute wewe, na atakwambia "ntakucheki baadaye", ikifika j3 asubuhi sweet honey baby nyingiiiii. Please changanya miguu
Kuna babes wapogo busy kila siku, so most of times hakutafuti, ila week akiwa anataka mzigo, he he he he utajiona malkia. "Mke wangu umekula, unafanyaje, umevaa nini", blah blah , yani kama kweli vile. Au awe binti sasa, akawa na shida uwii "baba angu, mume wangu mpenzi" mmmh Shtukaaaa
Inawezekana akawa hachepuki, but ni sign kuwa she/he is not that much into you. So sio kila kitu cha kuchukulia poa. Ila kama ni kitu cha kutokea mara moja moja ni sawa tu na inaeleweka, sio kitu cha kumuhisi mtu vibaya coz hakitokei daily. Kuna muda simu inakuwa mbali, u-busy upogo etc
Kwa hiyo feelings zangu juu yako zimegonga mwamba?usifanye hivyo...please..! utaniua!Bahati mbaya mimi siwezi kupenda mtu kabisa
Eeeh kuna vitu kuna muda inabidi tu tuvipotezee, as long as havina madhara yoyote physically, emotionally Au spiritually. Au unaignore kumuepusha Shetani tehkikiwa cha kujirudia lazima mzungumze .. swala la kupuuza nishauri zaidi wenye ndoa as long as akudharau , hakupigi, aatunza familia na malengo ya maendeleo yanaenda just ignore him
Usijali bibie kunipenda unaruhusiwa maana ukipenda siyo lazima upendwe pia.Kwa hiyo feelings zangu juu yako zimegonga mwamba?usifanye hivyo...please..! utaniua!
kabisa la sivyo utakuta unapata magonjwaEeeh kuna vitu kuna muda inabidi tu tuvipotezee, as long as havina madhara yoyote physically, emotionally Au spiritually. Au unaignore kumuepusha Shetani teh
Shikamoo BennyMae umeongea vyema sana, ubarikiwe sana
Hapo point ya nne, ni vizuri kupuuzia au kuchukulia poa baadhi ya mambo (I mean Kuwa positive), but ikiwa ni kitu kinachojirudia sana, basi hakitakiwi kuwa kitu cha kupuuziwa, kinaweza pia kuwa red flag
Nilikuwa na rafiki angu college. Yeye kila ikifika saa 4 usiku, ikitokea wanaongea na simu usiku, boyfriend anajifanya amesinzia ghafla zzzzzzzz , inabidi shosti anakata simu (he he he nacheka kama mazuri, sijawahi kuona ule usingizi), . Shosti akipiga simu after hata nusu saa hivi anakuta simu ya bae ipo busy, (usingizi umekata ghafla) na hatotafutwa hadi kesho hiyoo. Akawa ana-assume kweli kapitiwa usingizi, ila baadaye Shosti etu "alipatwa"
Kuna babes wana mahaba hao j3 hadi ijumaa mchana, weekend ikianza tu mahaba kushney, ni hadi umtafute wewe, na atakwambia "ntakucheki baadaye", ikifika j3 asubuhi sweet honey baby nyingiiiii. Please changanya miguu
Kuna babes wapogo busy kila siku, so most of times hakutafuti, ila week akiwa anataka mzigo, he he he he utajiona malkia. "Mke wangu umekula, unafanyaje, umevaa nini", blah blah , yani kama kweli vile. Au awe binti sasa, akawa na shida uwii "baba angu, mume wangu mpenzi" mmmh Shtukaaaa
Inawezekana akawa hachepuki, but ni sign kuwa she/he is not that much into you. So sio kila kitu cha kuchukulia poa. Ila kama ni kitu cha kutokea mara moja moja ni sawa tu na inaeleweka, sio kitu cha kumuhisi mtu vibaya coz hakitokei daily. Kuna muda simu inakuwa mbali, u-busy upogo etc
Vingine ukiignore hata kama mpo ndoani sio vyema, vinakuja kuleta madhara makubwa baadae, angalia na vya kuignore.kikiwa cha kujirudia lazima mzungumze .. swala la kupuuza nishauri zaidi wenye ndoa as long as hakudharau , hakupigi, anatunza familia na malengo ya maendeleo yanaenda just ignore him
sawa mamyVingine ukiignore hata kama mpo ndoani sio vyema, vinakuja kuleta madhara makubwa baadae, angalia na vya kuignore.
Nakusanya rambi rambiKwa hiyo feelings zangu juu yako zimegonga mwamba?usifanye hivyo...please..! utaniua!
Kafanyaje bae wanguShikamoo Benny
Nimeona baadhi ya sifa ake umezitaja humo.Kafanyaje bae wangu
Haha umem-date lini ukaona hizo sifa zake?Nimeona baadhi ya sifa ake umezitaja humo.