kende
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 3,527
- 1,669
Unawachokoza?
1. PROFESA JAY (Kupitia CHADEMA)
2. AFANDE SELE (Kupitia CHADEMA)
3. KINGWENDU NGWENDULILE (Chama bado hakijafahamika)
#Anyways , hivi karibuni tusishangae haya majina pia yakitangaza nia;
1. WEMA SEPETU
2. SIR NATURE
3. CHEGE CHIGUNDA
4. SHILOLE KIUNO
5. ADAM MCHOMVU, e.t.c
1. PROFESA JAY (Kupitia CHADEMA)
2. AFANDE SELE (Kupitia CHADEMA)
3. KINGWENDU NGWENDULILE (Chama bado hakijafahamika)
#Anyways , hivi karibuni tusishangae haya majina pia yakitangaza nia;
1. WEMA SEPETU
2. SIR NATURE
3. CHEGE CHIGUNDA
4. SHILOLE KIUNO
5. ADAM MCHOMVU, e.t.c
Wanaofaa ni wale wanaofanya mziki wa kiharakati,kiukombozi.
Nawaunga mkono prof J na Afande Sele.
Mtu kama Kalla Jeremia na Roma Mkatoliki pia wanafaa maana akili zao na mawazo yao yamejikita kutatua matatizo ya wananchi.
Wale wabana pua wengine ambao wao bila kuhusisha mapenzi wanaona bado hawajaimba kweli hapana ubunge.
afande sele hafai kuwa kuwa mbunge mvuta bangi yuleWanaofaa ni wale wanaofanya mziki wa kiharakati,kiukombozi.
Nawaunga mkono prof J na Afande Sele.
Mtu kama Kalla Jeremia na Roma Mkatoliki pia wanafaa maana akili zao na mawazo yao yamejikita kutatua matatizo ya wananchi.
Wale wabana pua wengine ambao wao bila kuhusisha mapenzi wanaona bado hawajaimba kweli hapana ubunge.
afande sele hafai kuwa kuwa mbunge mvuta bangi yule