MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,859
Moja kati ya mawili, huyo boss mjinga....lazima ajue she has the brain thats why ni boss na sio kaja modeling. Hizo ni kazi wa vibinti ambao wana less responsibilities na wana malengo tofauti.
Au huyo dada mzushi tu hana performance kapewa uhamisho sasa anampakazia mama wa watu.
Aisee kuna wadada nawasifu wanachange makeup not less than 2 times ofisini eti refresh, kwakweli kama uko full occupied hutokuwa na muda mchafu huo.
Au huyo dada mzushi tu hana performance kapewa uhamisho sasa anampakazia mama wa watu.
Aisee kuna wadada nawasifu wanachange makeup not less than 2 times ofisini eti refresh, kwakweli kama uko full occupied hutokuwa na muda mchafu huo.