Hiyo ya kutoonana ebu watusaidie iwe kama WhatsApp au instaWazo nilotaka kulitoa pia, hili linatakiwa walifanyie kazi. Yaani ukimblock mtu asikuone wala usimuone kabisaa ndani ya hili jukwaa.
NakaziaJukwaa la SIMULIZI na RIWAYA lisikose
Dah... Mlitazame na suala la utajiri wa Ids...maana unaweza kushambuliwa humu ukadhani unashambuliwa na brigedi.....kumbe mutu moja tu
Sent using Beretta ARX 160
Yaaani nachokagaHiyo ya kutoonana ebu watusaidie iwe kama WhatsApp au insta
Block ya jf uliyemblock anakulike na kukuquote
Hahhahah mm ndio mana nimechoka kumblock mtu humu jf labda warekebishe block yaoYaaani nachokaga
Ukini block huwa nina hack id yako, sikubali ata kidogo niseweze ku quote jumbe zakoHahhahah mm ndio mana nimechoka kumblock mtu humu jf labda warekebishe block yao
Hahaha ndio mana tunataka Max aboresheUkini block huwa nina hack id yako, sikubali ata kidogo niseweze ku quote jumbe zako
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi wachangiaji wa Thread ya Usiku wa Manane mmetuconsider vipiWakuu,
Naomba kuwafahamisha kuwa siku si nyingi tutafanya maboresho kidogo kwenye mwonekano na matumizi ya JF.
Lengo ni kuzingatia mahitaji ya wadau (ambayo yamekuwa yakiombwa), kuendana na mabadiliko ya kiteknolojia na kuimarisha zaidi uimara wa platform.
Aidha, maboresho hayo yataenda hadi kwenye kuimarisha miundombinu (infrastructure) ili kuongeza uimara wa kukabiliana na hali yoyote.
Mabadiliko mengine ya aina hii yanaweza kufanyika 2021 au 2022.
Maboresho ya Miundombinu yamepangwa kufanyika usiku wa manane wa kuamkia tarehe 26/03/2019.
Asante kwa ushirikiano mnaoendelea kutupa.
Ulichangia liniSisi wachangiaji wa Thread ya Usiku wa Manane mmetuconsider vipi
Sent using Uncesored Device
Ngumu kuona mabadiliko katika servers. Labda pale utapoona website iko na speed nzuri na imara zaidi.Kwahiyo maboresho ndiyo yamekamilika mkuu kwa awamu hii au, maana mimi sioni lolote jipya!
Kama ni mabadiliko ambayo ni sio rahisi kwa sisi kuyaona kwanini sasa musingeyafanya kimya kimya tuu?? Munaweka watu attention kwa kitu ambacho ni unnoticeable.Ngumu kuona mabadiliko katika servers. Labda pale utapoona website iko na speed nzuri na imara zaidi.
Ya mwonekano utayaelewa tu, tupe muda mchache
Ulikuwa umelala, ambao walikuwa macho wali-notice.Kama ni mabadiliko ambayo ni sio rahisi kwa sisi kuyaona kwanini sasa musingeyafanya kimya kimya tuu?? Munaweka watu attention kwa kitu ambacho ni unnoticeable.