Lakini si wana fedha na ada wanalipa
Kumbe insu hapo ni fedha na si elimu
Basi wabadilishe jina
Lakini si wana fedha na ada wanalipa
Nina demu langu pale sabrina matakoo ngoja niwahi kuiokoa nikalitulize maana litakuwa na mstuko na msongo wa mawazo ...
Nina demu langu pale sabrina matakoo ngoja niwahi kuiokoa nikalitulize maana litakuwa na mstuko na msongo wa mawazo ...
ukawa au ccm inaingiaje ?mabomu ndio sera ya ccm dhidi ya wananchi wake. Ukawa tunakuja kulikomboa taifa.
Hakikisha unajiandikisha.
Tangu chuo cha mzumbe kianze zaidi ya miaka arobaini iliyopita hapajawahi kutokea mgomo hata siku moja. Hii ni kwasababu kuna kua na dialogue kati ya wanafunzi na uongozi mara kwa mara.
naskia vyeti vya chuo hiko cha kampala havitambuliki so imekula kwao
Mkuu like matakoo! Nimelitafuna lile mara mwenga kumbe ndo unapumzika pale! Haya kaka.
Mkuu kama upo mahali ukasikia FFUMbaya zaidi waliogoma na kufanya vurugu ni wanafunzi wa Health Science.
Wanaokamtwa na kupigwa na wengine kudhalilishwa ni wale walioko madarasani wa Law na Education.
Hii ndio Tanzania.