Mbaya zaidi waliogoma na kufanya vurugu ni wanafunzi wa Health Science.
Wanaokamtwa na kupigwa na wengine kudhalilishwa ni wale walioko madarasani wa Law na Education.
Hii ndio Tanzania.
Wanaokamtwa na kupigwa na wengine kudhalilishwa ni wale walioko madarasani wa Law na Education.
Hii ndio Tanzania.
Jeshi la polisi jijini Dar es Salaam limelazimika kutumia Mabomu ya machozi kutawanya Wanafunzi Wa chuo cha Kampala baada ya kugoma kuondoka chuoni hapo. Hii ni baada ya wanafunzi kulalamika ya kuwa kuna mojawapo ya fani itolewayo hapo chuoni haijasajiliwa.
Pia Wanafunzi WAMEJERUHIWA na kulazumika kukimbizwa hospital. Na majengo ya chuo yameharibiwa na Wanafunzi.
Chanzo: I TV Breaking News