issa ramadhani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 1,319
- 260
Wadau kuna nini? Mbona milio ya mabomu na miale ya mwanga angani?
Kuna milio mikubwa inasikika eneo la Mbezi Beach saa hizi, milio hii ni mikubwa kuliko mabomu ya Mbagala na gongo la mboto. anayejua tafadhali atujuze
wadau kuna nini mbona milio ya mabomu na miale ya mwanga angani?
Kuna milio mikubwa inasikika eneo la Mbezi Beach saa hizi, milio hii ni mikubwa kuliko mabomu ya Mbagala na gongo la mboto. anayejua tafadhali atujuze
wadau kuna nini mbona milio ya mabomu na miale ya mwanga angani?
Mi nililala imenibidi nihamke nivae trakisuti attension kwa kuangalia wapi nikimbilie,,,kimewaka au nini ??
...Sali Kisha Usubiri Litakalo Kufika Sasa Utakimbilia Wapi?Burundi Kimenuka,kenya Alshabaab Wapo,congo Hapa Kaliki Uganda Nako Kuna Waasi Wa LRA!Rwanda Sijui Kama Utapokelewa!