Jamani mie nipo maeneo ya leaders hapa nasikia miungurumo inatokea biafra
Biafra wapo FFU wamepiga kambi pale. Pia wapo vijana wengi barabarani wanawabwekea muda mrefu. Labda FFU wamekosa subira.
Daaaah! Watoto wa Taifa....mmmmmh hasara sana
Umejuaje ni mabomu........?........
Jamani mie nipo maeneo ya leaders hapa nasikia miungurumo inatokea biafra
Umejuaje ni mabomu........?........
Nchi hii kuna watu wanaitwa Ffu
Halafu hivi mabomu yanatoa milipuko au miiungurumo?
Jirani umesalimika huko Yaenda, hapa Mongolia hali shwari!.Umejuaje ni mabomu........?........
Jirani umesalimika huko Yaenda, hapa Mongolia hali shwari!.