Nchi hii kuna watu wanaitwa Ffu
Mimi mwenyewe nilihitimu mafunzo ya JKT, lakini nilipomshirikisha ona hawa jamaa ambao hata hawafikii kiwango changu katika mafunzu afu wanawatesa Raia kiasi kile, kiukweli huwa ninawaona kama sio watu wa maana.
jichanganye siku moja kwenye harakati zao za kuweka levo siti ili ujipime kiwango kwa vitendo sio nadharia hizi za jf