Mabishano makali-Tunaomba msaada wa uamuzi

bachelor sugu

JF-Expert Member
Jan 30, 2018
2,689
3,641
Habari za usiku wakuu.

Naamini mko salama na wale mlioko kwenye magumu Mola awatilie wepesi yapate kuwa mepesi kwenu InshaAllah.

Jamani kuna ubishi nimeushikilia tangu jana but hatujaweza kupata jibu,

Mm na jamaa yangu mmoja naye yumo humu Jf baada ya kufuturu tulitofautiana ktk michezo hii miwili:KARATE na MASUMBWI(BOXING) but hatukuwa tukibishana kuhusu michezo yenyewe but Uimara na ukomavu wa wahusika wenyewe.

Ubishi hasa ulikuwa ktk mada kuwa

Iwapo ikatokea JET LEE na MIKE TYSON wote ktk enzi za ubora wao wakazinguana mazima na wakaamua kutoleana uvivu na kushikishana adabu seriously bila kufuata kanuni za michezo yao yaani iwe Free fight (Haoa kumbuka tunaimagine) Je ni nani anaweza kumtwanga mwenzie?????

Katika michezo hii miwili inapofika ktk suala la mazoezi makali na magumu ni upi ambao wachezaji wake wanafanya mazoezi magumu zaidi kuliko mwingine???

Binafsi mm nipo upande wa Karate kuwa ni mchezo ambao wahusika wapo much PHYSIQUE kuliko boxing na kwa mtu mwenye level ya Jet Lee mwenye Dan 5 kiukweli naamini Tyson angekimbia bila kuangalia nyuma.

Karibuni nanyi mtuchangie japo tupate kumaliza huu ubishani.

Sincerely,Bachelor Sugu.
 
Karate ni the best, usijaribu kuwqpiganisha hawa watu kwasababu karate anakuwa trained kutumia miguu na mikono wkt bondia anatumia mikono peke yake, kwa style hiyo boxer anakalishwa na karateker,
But NOTE, sometimes Kwenye mapigano ni timing hapo yeyote akiliwa timing anapigwa
 
Kitu muhimu karateker akiruhusu akapigwa ngumi na boxer atakaa kwakuwa boxer wanafanya mazoez ya mikono zaidi, japo karateker ana ngumi nzito pia lkn boxer ana ngumi nzito zaidi
 
Karate ni the best, usijaribu kuwqpiganisha hawa watu kwasababu karate anakuwa trained kutumia miguu na mikono wkt bondia anatumia mikono peke yake, kwa style hiyo boxer anakalishwa na karateker,
But NOTE, sometimes Kwenye mapigano ni timing hapo yeyote akiliwa timing anapigwa
Hata mm nakubaliana mapigano ni timing but kiukwwli Karateker wapo juu zaidi Yaani huwezi mpambanisha Jet Lee na Tyson halafu Tyson apone nahisi atakuwa anaanguka anguka mwenyewe kama Kiroba mara zote.
 
Habari za usiku wakuu.

Naamini mko salama na wale mlioko kwenye magumu Mola awatilie wepesi yapate kuwa mepesi kwenu InshaAllah.

Jamani kuna ubishi nimeushikilia tangu jana but hatujaweza kupata jibu,

Mm na jamaa yangu mmoja naye yumo humu Jf baada ya kufuturu tulitofautiana ktk michezo hii miwili:KARATE na MASUMBWI(BOXING) but hatukuwa tukibishana kuhusu michezo yenyewe but Uimara na ukomavu wa wahusika wenyewe.

Ubishi hasa ulikuwa ktk mada kuwa

Iwapo ikatokea JET LEE na MIKE TYSON wote ktk enzi za ubora wao wakazinguana mazima na wakaamua kutoleana uvivu na kushikishana adabu seriously bila kufuata kanuni za michezo yao yaani iwe Free fight (Haoa kumbuka tunaimagine) Je ni nani anaweza kumtwanga mwenzie?????

Katika michezo hii miwili inapofika ktk suala la mazoezi makali na magumu ni upi ambao wachezaji wake wanafanya mazoezi magumu zaidi kuliko mwingine???

Binafsi mm nipo upande wa Karate kuwa ni mchezo ambao wahusika wapo much PHYSIQUE kuliko boxing na kwa mtu mwenye level ya Jet Lee mwenye Dan 5 kiukweli naamini Tyson angekimbia bila kuangalia nyuma.

Karibuni nanyi mtuchangie japo tupate kumaliza huu ubishani.

Sincerely,Bachelor Sugu.

Hakuna aliye bora. Wa karate anaweza kupigwa na wa masumbwi au wa masumbwi akapigwa na wa karate. Halafu ukumbuke kuwa kupigana kunaendana na uzito. Au ume-asuume wana uzito sawa?

Kama wana uzito sawa basi atakayeshinda ni yule aliye bora zaidi kimapigano.

Ni kama wanavyopigana wana masumbwi wawili wakali... anayeshinda ni yule bora au yule aliyemuwahi mwenzake. Kumbuka hapa umesema kuwa hakuna sheria zitakazosimamia mapigano yao!

Hivyo usije ukaona watu wa boxing ukafikiri wanajua tu kurusha masumbwi na hawawezi kutumia viungo vingine kupigana. Jibu ni: Inategemea aliye bora au atakayemuwahi mwenzake!
 
Binafsi mm nipo upande wa Karate kuwa ni mchezo ambao wahusika wapo much PHYSIQUE kuliko boxing na kwa mtu mwenye level ya Jet Lee mwenye Dan 5 kiukweli naamini Tyson angekimbia bila kuangalia nyuma.


Hilo halina ubishi, kwani boxing ina involve mikono tu lakini karate ina involve mikono na miguu.

K wanza kupambanisha michezo ya aina tofauti sio SAWA kabisa.

Utakumbuka Floyd mayweather alipopambana na Mc gregory walipambana katika boxing tu, Mc Gregory ni mixed martial artist, na Mayweather ni boxer, lakini Mc Gregory angeruhusiwa kupambana na Mayweather katika Mixed martial Mayweather asingepona.
 
Hilo halina ubishi, kwani boxing ina involve mikono tu lakini karate ina involve mikono na miguu.
K wanza kupambanisha michezo ya aina tofauti sio SAWA kabisa.
Utakumbuka Floyd mayweather alipopambana na Mc gregory walipambana katika boxing tu, Mc Gregory ni mixed martial artist, na Mayweather ni boxer, lakini Mc Gregory angeruhusiwa kupambana na Mayweather katika Mixed martial Mayweather asingepona.
Aiseee! Usicheze na Boxer huijui ndio maana Boxer anafanya mazoezi makali sana si hayo tu uliyoyakalili wewe.
Trust me mcheza masumbwi ni mtu hatari, JAPO INAHITAJI JUHUDI KUBWA MPAKA KUWA BOXER MZURI.
 
Karate ni the best, usijaribu kuwqpiganisha hawa watu kwasababu karate anakuwa trained kutumia miguu na mikono wkt bondia anatumia mikono peke yake, kwa style hiyo boxer anakalishwa na karateker,
But NOTE, sometimes Kwenye mapigano ni timing hapo yeyote akiliwa timing anapigwa
Mzee, mimi nimejifunza karate vizuri sana hadi kesho naendelea kucheza nimeanza rasmi kujifunza mchezo huu nikiwa shule 2008.

Nimeanza kucheza Boxing mwaka 2016 lakini Boxer ni ngumu mno inahitaji moyo.
Kama unajua kucheza karate vizuri hata kama umefikia hadhi ya usensei njoo nikutie adabu
 
Hata mm nakubaliana mapigano ni timing but kiukwwli Karateker wapo juu zaidi Yaani huwezi mpambanisha Jet Lee na Tyson halafu Tyson apone nahisi atakuwa anaanguka anguka mwenyewe kama Kiroba mara zote.
Ni kweli, kwanza bondia ili akupige ngumi lazma msogeleane but kwa karateker unashtukia ushachezea ngumi na mateke bila kujua umepigwaje, so I prefer karate na I real like it
 
Kiuhalisia tyson angemuua jamaa, watu
Habari za usiku wakuu.

Naamini mko salama na wale mlioko kwenye magumu Mola awatilie wepesi yapate kuwa mepesi kwenu InshaAllah.

Jamani kuna ubishi nimeushikilia tangu jana but hatujaweza kupata jibu,

Mm na jamaa yangu mmoja naye yumo humu Jf baada ya kufuturu tulitofautiana ktk michezo hii miwili:KARATE na MASUMBWI(BOXING) but hatukuwa tukibishana kuhusu michezo yenyewe but Uimara na ukomavu wa wahusika wenyewe.

Ubishi hasa ulikuwa ktk mada kuwa

Iwapo ikatokea JET LEE na MIKE TYSON wote ktk enzi za ubora wao wakazinguana mazima na wakaamua kutoleana uvivu na kushikishana adabu seriously bila kufuata kanuni za michezo yao yaani iwe Free fight (Haoa kumbuka tunaimagine) Je ni nani anaweza kumtwanga mwenzie?????

Katika michezo hii miwili inapofika ktk suala la mazoezi makali na magumu ni upi ambao wachezaji wake wanafanya mazoezi magumu zaidi kuliko mwingine???

Binafsi mm nipo upande wa Karate kuwa ni mchezo ambao wahusika wapo much PHYSIQUE kuliko boxing na kwa mtu mwenye level ya Jet Lee mwenye Dan 5 kiukweli naamini Tyson angekimbia bila kuangalia nyuma.

Karibuni nanyi mtuchangie japo tupate kumaliza huu ubishani.

Sincerely,Bachelor Sugu.
Kiuhalisia tyson angemuua jamáa, estuvo wanaocheza boxing ni hatari sana
 
Hapo ni lazima Tyson akae.

Mtu anae piga karet n mtata zaidi kuliko anae piga boxing.

Nope.

Kujifunza ngumi sio kujua kupigana, unawezakuwa hodari ulingoni lakini mtaani wana wanakuwa wanakukalisha tu.

Ulingoni unapiga bila Panic.

Huku mtaani ukivurugwa ni lazima upanic na ukisha panic uwezo wa kujifunza upotea na kubaki uwezo binafsi wa kuzaliwa nao.

Kumudu ugomvi mara nyingi ni self confidence.

Kuna wana wanapiga ngumi za asili, hawana mafunzo yoyote ya kupigana.
 
Back
Top Bottom