Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,180
- 188,681
Damn true and I do not care.utakuwa single mama wewe, hauna pa kukimbilia tayari.
Damn true and I do not care.utakuwa single mama wewe, hauna pa kukimbilia tayari.
Umeniwahi. Nilitaka niulizeIvi na hao wanaokaribia thirty wanaitwa mabint
Watulie waache mapozi na kuchagua wanao wataka maana muda sio rafiki.Nini kifanyike?
kweli mkuuJua likianza kuzama ndo wanaona umuhimu wa mwanga,,, wanatafuta chochote kiwasaidie kumulika ndan ya giza watakalo ingia
waoeni haraka sana hahaaaaNini kifanyike?
naunga hoja,mm ninae mpka ikanibidi nipeleke barua maana sija jinsi kwakweliMa binti ambao wako Dakika za majeruhi wanakaribia kuinusa miaka 30 wana kiu kali ya ndoa , ukiwa nae kimahusiano ata kama mahusiano mabichi yana wiki mbili ataanza kauli za kuhusu ndoa , wako desperate sana. Yuko tayari kukupiga hata limbwata akuteke
Yuko nyuma ya keybord hapo ndio Mana anavimbautakuwa single mama wewe, hauna pa kukimbilia tayari.
Waoeni.Nini kifanyike?
Mawazo yako yangekuwa sawa na wazazi waliokuleta duniani sidhani kama tungepata nafasi ya kuwa na wewe hapa jukwaani.Inategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.
YOUR GOOD FOR ME INFACT <3Inategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.
Kwa sababu bado unasoma,maliza chuo kwanza.Inategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.
Hii ni lugha nzuri sana ya kujifariji.Inategemea "ntu na ntu" binafsi niko na thirty two yangu safi kabisa na hakuna kitu cha kunifanya niwe desperate as long as nakula nashiba na kulala kwa amani.
Nini kifanyike?