Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,260
Hawana subira. Si wadadisi. Ni rahisi kushawishiwa, hasa mwanaume akiwa mambo safi. Tamaa yao iko hivi; kama mwanaume aonavyo maungo ya kike na akili kumruka, ndivyo walivyo mabinti (wengi) waonapo mazingira ya mali. Tena zaidi gari. Siwasemi vibaya. Wanam conclude mwanaume kwa kumtazama tu. Wasiyajue ya nyuma ya pazia. Humpati mwanamke kwa tenzi za rohoni (kirahisi hata kigumu) tena bali kwa kutanguliza ulicho nacho kwanza. Wanaume wa ndoto zao ni wachache ndio maana ni rahisi kumilikiwa na mwanaume mmoja hata wakiwa watatu. Cha msingi wapate mahitaji yao 'muhimu'-saluni, vocha, usafiri, mlo, viwalo, kodi. Sex imaweza isiwe lazima. Anajua to calm hamu hata kama ni kwa kuibia, kujichua ama wao kwa wao! Si tunaona wakilana madenda laivu kwenye media? Nisiseme sana. Sie wanaume tunapenda muwe wadadisi na wenye subira. Hayo mawili ni msingi wa mengine
Mkuu ninatabiri reaction mbaya hakikisha umejiandaa na data za kudefend hii research yako..
Mkuu ninatabiri reaction mbaya hakikisha umejiandaa na data za kudefend hii research yako..
Dah!
Hasira zangu leo sijui zimeenda wapi. Aaaargggigh!
Ngoja nisiuharibu usiku wangu.
Kesho nitakuamkia.
Hawana subira. Si wadadisi. Ni rahisi kushawishiwa, hasa mwanaume akiwa mambo safi. Tamaa yao iko hivi; kama mwanaume aonavyo maungo ya kike na akili kumruka, ndivyo walivyo mabinti (wengi) waonapo mazingira ya mali. Tena zaidi gari. Siwasemi vibaya. Wanam conclude mwanaume kwa kumtazama tu. Wasiyajue ya nyuma ya pazia. Humpati mwanamke kwa tenzi za rohoni (kirahisi hata kigumu) tena bali kwa kutanguliza ulicho nacho kwanza. Wanaume wa ndoto zao ni wachache ndio maana ni rahisi kumilikiwa na mwanaume mmoja hata wakiwa watatu. Cha msingi wapate mahitaji yao 'muhimu'-saluni, vocha, usafiri, mlo, viwalo, kodi. Sex imaweza isiwe lazima. Anajua to calm hamu hata kama ni kwa kuibia, kujichua ama wao kwa wao! Si tunaona wakilana madenda laivu kwenye media? Nisiseme sana. Sie wanaume tunapenda muwe wadadisi na wenye subira. Hayo mawili ni msingi wa mengine
yana ukweli sana, unajua wngi hawataki kusimama na kupambana wanataka vitu na mambo mazuri huku kazi hawataki, so wanapotokewa na watu wenye pesa inakuwa ndo zali kwao bila kujua hatma, mmesahau ile orodha ilitolewa kumuhusu Liyumba.
Huyu nafikiri ana matatizo binafsi......ametafuta kakosa...sasa anaanza kutuletea research zake hapa!...!!!
Saahani, huenda nigusa topiki nisiyofahamu. Nina binti wawili warembo kama mama yao na kila mmoja ana gari yake ingawa ile Taurus na ya mkubwa ni ya mwaka 2005 ukilingnaisha na hii ya mdogo wake ya mwaka 2009. Karibu kila siku baada ya chakula cha jioni huwa tunajadili mabmbo mbali mbali yalitamba kwenye news siku hiyo tukichanganya philosophy, politics, economics, science & technology, medicine na mengineyo mengi. Unataka kuniamusha kuwa mabinti hawa hawana subira ya kudadisi mwanaume yoyote mweye gari? Nafikiri umewaonea watoto wa kike wengi kwa matazamo wako huo. Sidhani kama wote wako vile
Hawana subira. Si wadadisi. Ni rahisi kushawishiwa, hasa mwanaume akiwa mambo safi. Tamaa yao iko hivi; kama mwanaume aonavyo maungo ya kike na akili kumruka, ndivyo walivyo mabinti (wengi) waonapo mazingira ya mali. Tena zaidi gari. Siwasemi vibaya. Wanam conclude mwanaume kwa kumtazama tu. Wasiyajue ya nyuma ya pazia. Humpati mwanamke kwa tenzi za rohoni (kirahisi hata kigumu) tena bali kwa kutanguliza ulicho nacho kwanza. Wanaume wa ndoto zao ni wachache ndio maana ni rahisi kumilikiwa na mwanaume mmoja hata wakiwa watatu. Cha msingi wapate mahitaji yao 'muhimu'-saluni, vocha, usafiri, mlo, viwalo, kodi. Sex imaweza isiwe lazima. Anajua to calm hamu hata kama ni kwa kuibia, kujichua ama wao kwa wao! Si tunaona wakilana madenda laivu kwenye media? Nisiseme sana. Sie wanaume tunapenda muwe wadadisi na wenye subira. Hayo mawili ni msingi wa mengine