Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Nadhani mwandishi anajua so wote wako hivyo ila ni majority vote....yaani ni sawa na mtu akisema kikwete siuo rais wangu wewe ukmkataza kwa sababu atakupa fact kuwa kikwete amechaguliwa na watu (ambao hatuna hakika km ni watz) 5mil kati ya watz zaidi ya 40mil......lakini kapata kamajority eti kwasababu waliopiga kura walikuwa 8mil.....................kwa hiyo ni kweli majority of the dadaz are like dat
nataka niseme tu kuwa sio wote wako hivyo........wako mabinti wanaojiheshimu na hawako after things as u hv mentioned