Obuntu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 510
- 34
huu ni utata kwa kweli.
Cheusimangala,
Habari ya siku nyingi? Unapotea sana dear!!
huu ni utata kwa kweli.
Kwa hiyo hapo kwenye he umeuliza au umejibu?Alifata ushauri na zile sheria nilizipata kwenye thread fulani nikamprintia alifurahi sana. Hiyo something na hamu nayo lakini naona kama na wewe ni he??
hahahah haya makombora ya humu??? hata ya mbagala yana afadhali...mie napita tu kny ambulensi in case na humu kuna majeruhi tutawabeba....noooli noooli noooooli :A S 13::wink2:
Kwa hiyo hapo kwenye he umeuliza au umejibu?
Mkurugenzi habari yako binafsiCheusimangala,
Habari ya siku nyingi? Unapotea sana dear!!
usiwaonee watoto wa kike, kwani sasa hivi kuna wanaume wangapi wanaohudumiwa na wanawake? kosa lenu wanaume ni moja, mnashindwa kuidentify what u need and deserve, coz unamtaka mwanamke wa class ya juu kushinda uwezo wako akikataa unaanza kucoment kuwa wanapenda hela, and by the way mahitaji uliyomension hapo juu ya saloon n.k ni vitu vidogo mno ambavyo kwa mwanamke mwelewa hawezi kuvidai, coz ni vitu muhimu kwa mtoto wa kike ka kupumua vilee, last but not least kuna wanawake tunajitegemea na kufanya mambo yetu kwa support kutoka kwa wazazi wetu.
Mkurugenzi habari yako binafsi
Mkuu ashukuru kwa lipi hapa?mshukuru Mungu
Mkuu umepiga ikulu,..
Yaani wanapoteamno!! inasikitisha kuona sikuhizi mabinti kuwa na mijbaba yenye wake na watoto eti ni jambo lakwaida!! Upuuzi mtupu!
Baadae wakikosa kuolewa wanaanza kuona nilaana kumbe CV zaozimechafuka!
Kuna katoto ka rucco kananisumbua hapa contena hebu nipe mistari MD wangu!Mimi mzima Mr Chairman ... Vipi via Mobile .. Upo Ruha University au Miami Bar?
Kuna katoto ka rucco kananisumbua hapa contena hebu nipe mistari MD wangu!
Cha msingi wapate mahitaji yao 'muhimu'-saluni, vocha, usafiri, mlo, viwalo, kodi
Mkuu ashukuru kwa lipi hapa?
Michelle nakusalimu! Muzima wewe? Karibu counter ya juu!
Kimey na wengine, tunaharibu mtiririko mzima wa kuchangia hoja iliyopo mbele yetu kwa kugeuza mjadala kuwa sehemu ya kusalimiana. Kama huna cha kuchangia kwa nn usikae kimya?. Naona kwenye majukwaa mengi sasa huu unakuwa ndio mtindo watu kubadili hoja n kuanza kusalimiana. Tuwe wastaarabu na tujirekebishe wakubwa. Otherwise JF inapoteza Credibility yake. Labda MODS watoe mwongozo katika hili. Its disgusting?
Mkurugenzi habari yako binafsi
Kimey na wengine, tunaharibu mtiririko mzima wa kuchangia hoja iliyopo mbele yetu kwa kugeuza mjadala kuwa sehemu ya kusalimiana. Kama huna cha kuchangia kwa nn usikae kimya?. Naona kwenye majukwaa mengi sasa huu unakuwa ndio mtindo watu kubadili hoja n kuanza kusalimiana. Tuwe wastaarabu na tujirekebishe wakubwa. Otherwise JF inapoteza Credibility yake. Labda MODS watoe mwongozo katika hili. Its disgusting?
Nilikuwa sijapitia humu kwa njia ya PC. Sasa nataka kukubaliana rasmi na kauli yakoMkuu ninatabiri reaction mbaya hakikisha umejiandaa na data za kudefend hii research yako..