kweli bwana kuna miwanaume inapenda sms sijui ya wapi ? I hate that ?????kama unaona gharama usitongoze.....
Tena unaweza kukuta unam-text binti wa watu mara kumi kwa siku, unategemea aweke mawe kwenye simu ili aweze kukujibu sms zako?
Sasa ulitaka upewe bure, usione vyaelea kaka, vimeundwa.
Vocha tu mikelele hadi JF, je angemwambia ampeleke show room, si angezimia, we nini bana, we hujui chema chajiuza!?
samaki wakasirika
Umemwambia vema, anatakiwa azingatie. Kama hataki asitafute wanaosuka nywele na kujipamba kwa vito vya thamani. Atafute wanaonyoa, na wasiojua kutumia simu, ili wasiombe vocha.Umemkuta kapendeza ndio maana ukampenda,
Hapo hela ilitumika,hujui alitetitoa,
Kumbe unataka umtumie alafu akutunzie nani?
Hapo unatakiwa umpendezeshe zaidi ya hapo,na game utapewa bila hata kuomba!
Kwenye upenzi tu bahili hivyo,ukimuoa na kumzoea je,c hata salun atapasikia tu!
Acha ubahili fahari ya mwanamke ni kupendezeshwa na mpenziwe km hujui!
Yani unakuta demu umemtongoza tu hata wiki bado,mara anaanza kuomba vocha,mara hela ya kusuka,jamani yani ndio umenikubalia tu na hayo ndo yanaanza? Hii ikoje jamani?
kweli bwana kuna miwanaume inapenda sms sijui ya wapi ? I hate that ?????
wewe tunda hujaomba?
kataa usitoe...............hadi akupe tundi.