Luckme
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 713
- 757
Mkuu taratibu basi ya Kule yaache kule kule...hahah apa nilikua natoa kaushauri tu....nipo apa nasubiria godoro likauke....We kuna uzi umeufungua unajilaumu kwanini unapata wanaume wa ajabu mwingine leo kakukojolea na kusepa, Wanawake wa kitanzania mkisoma kidogo tu mnataka usalama katika mapenzi ila nyie mkitongozwa mnavuliwa chupi hovyo.
am better here