Mabinti Ogopeni sana Ndoa na Wanaume ambao tayari wana watoto

LICHADI

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
4,288
11,639
Mada za kuwasema Single Mother zimekuwa nyingi sana ila watu hawajui kuwa Wanaume wenye watoto ambao washatengana na wenza wao ni Pipa na mfuniko na Masingle Mother hawana tofauti ni kitu kimoja

Ukiingia kwenye Mahusiano na Mwanaume ambae ana Historia ya kumzalisha mtu huko nyuma basi kabla ya kufunga nae Ndoa hakikisha kaburi la huyo mwanamke aliyezaa nae ulione kama yupo hai ingia kwenye Hiyo Ndoa utakuja kuhadithia mauza uza yake soon

Nadhani leo mmeona habari ya Binti kumchinja Mmewe kisa kamfuma kwa mzazi mwenzake eeh hao ndio wanaume Masingle Father hawanaga tofauti na Masingle mother mm huwa nashangaa mada ya kuwaponda waawake wakati Aliyezalisha nae ni walewale

Siku zote watu wanapoachana huwa Tatizo huwa sio la Mwanamke peke yake mara nyingi mambo huwa ni 50/50 hata huyo mwanaume aliyemtekeleza huyo mwanamke na mtoto juu nae shida ipo sasa ukija kuingia nae kwenye Ndoa kuwa makini sana

Ifike muda sasa anaepinga Sitaki Single Mother ahakikishe nae hana mtoto nnje,Maana kuchezea binti wa mtu alafu umetia mimba ukakimbia huna ubavu wa kuja kumponda Single Mother maana wewe na yeye ni kitu kimoja yaani pipa na mfuniko wake
 
Kazi ya mwanaume kwenye hii Dunia ni kutoa, kila alichonacho mwanaume sio cha kwake anatakiwa akitoe, akigawe.

Mwanaume kazi yake ni kuzalisha, hilo halina uhusiano wa yeye kua na tabia mbaya ama lah.

Ni wazungu tu wamewapumbaza kwamba mwanaume unatakiwa uzalishe mwanamke mmoja tu kwenye hii Dunia kitu ambacho hakina maana yoyote.
 
IMG-20240526-WA0393.jpg
 
Mada za kuwasema Single Mother zimekuwa nyingi sana ila watu hawajui kuwa Wanaume wenye watoto ambao washatengana na wenza wao ni Pipa na mfuniko na Masingle Mother hawana tofauti ni kitu kimoja

Ukiingia kwenye Mahusiano na Mwanaume ambae ana Historia ya kumzalisha mtu huko nyuma basi kabla ya kufunga nae Ndoa hakikisha kaburi la huyo mwanamke aliyezaa nae ulione kama yupo hai ingia kwenye Hiyo Ndoa utakuja kuhadithia mauza uza yake soon

Nadhani leo mmeona habari ya Binti kumchinja Mmewe kisa kamfuma kwa mzazi mwenzake eeh hao ndio wanaume Masingle Father hawanaga tofauti na Masingle mother mm huwa nashangaa mada ya kuwaponda waawake wakati Aliyezalisha nae ni walewale

Siku zote watu wanapoachana huwa Tatizo huwa sio la Mwanamke peke yake mara nyingi mambo huwa ni 50/50 hata huyo mwanaume aliyemtekeleza huyo mwanamke na mtoto juu nae shida ipo sasa ukija kuingia nae kwenye Ndoa kuwa makini sana

Ifike muda sasa anaepinga Sitaki Single Mother ahakikishe nae hana mtoto nnje,Maana kuchezea binti wa mtu alafu umetia mimba ukakimbia huna ubavu wa kuja kumponda Single Mother maana wewe na yeye ni kitu kimoja yaani pipa na mfuniko wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom