Mabinti kwenye facebook hawajui kusema no!

jamii01

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
1,974
1,400
nimejaribu kuwataka mabinti haijalishi wako kwenye mauhusiano au hapana kupitia facebook huwa hawakatai mbaya zaidi unakupa number yake ya cim na sehemu anayofanyia kazi au kusoma na mahali anapoishi..cim ukipiga usiku mnapiga naye story nikinoma.nikajaribu kuwaulizia washikaji zangu kama watano hivi hivi mie ndiye mwenye zali peke yangu au nini nao majibu ni hayo hayo.ila wakasema mabinti wakiona huko nje tu na pcs zako ziko fresh kimtoni hawakatai.ukirudi bongo nikugusa tu..unakula kitu akitegemea utamtoa kwenye vumbi ya kibongo.
 
Ni vizuri kutumia vizuri hiyo YES yao kwa kutambua kama wanajali au la, kwani itakuwa ni hivyo kwa kila Brother atakayeomba. Hivyo basi ni bora ukatulia na huyo mmoja unayeamini anakupenda kweli.kwani kwa ujumla mapenzi ya kweli cku hz ni adimu sana...wadhani nini sababu ya ndoa nyng kuvunjka????????????? tupo pamoja, ujijali zaidi mwenyewe kuliko hao mabint.......................
 
Kama wako kimauzo watasema je no 7bu ukiangalia ata picha wanazoweka zinajieleza kabisa
 
[video=youtube_share;WpCosXjD6IM]http://youtu.be/WpCosXjD6IM[/video]
kueni makini sana wadada wenzangu...........
nilickia bongo miezi miwili iliyopita kuna mdada alidate na mkaka fb badae wakaamua kuonana alipoenda kwa mkaka akamkuta na wengine wanne wakambaka kweli kwlei zen wakaenda kumtupa ktk mtaro akaokotwa na wapita njia na kupelekwa medical
 
wape wape kitu meeen.... si huwa inasemekana kuwa Mwanaume hakatai hiyo kitu
 
kwani hili ni jukwaa gani maana nilikuwa na tafuta vurugu ubungo baada ya mdahalo wa katiba..
 
Back
Top Bottom