Mabingwa wa hesabu Chit-Chat nisaidieni hii

Mabingwa wa hesabu Chit-Chat nisaidieni hii

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
56,764
Reaction score
46,273
Wanabodi,

Hebu nisaidieni hii, kama unajua kiswahili.......Ikiwa hii 11,000=elfu kumi na moja.

Je, hii 10,001:Shilingi ngapi?

Nisaidieni ndugu zangu.
 
Ritz!
Mkiletaga hii makitu muwe mnatutangazia na mijifti bwanaa!
Hua tinasugua vichwa mgosi ujue?
 
Wanabodi,

Hebu nisaidieni hii, kama unajua kiswahili.......Ikiwa hii 11,000=elfu kumi na moja.

Je, hii 10,001:Shilingi ngapi?

Nisaidieni ndugu zangu.
Hata hii inakushinda bro... Baba V kajibu.
 
Last edited by a moderator:
elfu kumi na shilingi moja.
 
Wanabodi,

Hebu nisaidieni hii, kama unajua kiswahili.......Ikiwa hii 11,000=elfu kumi na moja.

Je, hii 10,001:Shilingi ngapi?

Nisaidieni ndugu zangu.

Mkuu umepotea njia huku siyo kwako tuachie sie.
 
Back
Top Bottom