Mabillion kuwajibu upinzani!

Mvaa Tai

JF-Expert Member
Aug 11, 2009
6,159
4,443
Leo nimeharibu siku yangu nimepita maeneo ya Hazina pale nikamsikia Afisa mmoja akizungumza na mwenzake kwa uchungu sana. Vitu muhimu nilivyo vi-note ni kama ifuatavyo.

1. Kila wizara imelazimishwa ifanye maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru, wakati serikali ipo katika hali ngumu sana kifedha.
2. Wizara zoote hazikubajeti pesa kwa ajiri ya shughuli hii
3. Kila wizara imeamuliwa iangalie katika vifungu vyake itatoa wapi pesa na shughuli za kifungu husika zisimame mpaka bajeti ya mwakani
4. Mpaka sasa kwa wastani kila wizara inatumia zaidi ya Billion mbili kwa shughuli za kuadhimisha Miaka 50 ya uhuru
5. Inasemekana viongozi wa CCM wamekasirika kuambiwa kwamba hawajafanya lolote tokea tupate uhuru.

Naumia sana nikijiuliza: Hivi jumla tuna wizara na Taasisi ngapi za Serikali? Mpaka hili zoezi la kujisafisha liishe jumla itatumika bei gani? katika kipindi hiki ambacho uchumi unadorora ni kwanini hizo pesa zisielekezwe katika maeneo yatakayo punguza makali? kama vile kuongeza ruzuku kwa wazalishaji na wasafirishaji bidhaa nje ya nchi.

Kwanini wataalamu wetu Serikalini wanaendeshwa kiasi hiki na wana siasa? Hivi CCM wanaona ni sawa kusheherekea miaka 50 ya uhuru huku ukienda madukani unakutana mpaka na maziwa freshi, mboga za majani na matunda kutoka nje ya nchi?

AAAAAAAAAGR!!
 
Leo nimeharibu siku yangu nimepita maeneo ya Hazina pale nikamsikia Afisa mmoja akizungumza na mwenzake kwa uchungu sana. Vitu muhimu nilivyo vi-note ni kama ifuatavyo.

1. Kila wizara imelazimishwa ifanye maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru, wakati serikali ipo katika hali ngumu sana kifedha.
2. Wizara zoote hazikubajeti pesa kwa ajiri ya shughuli hii
3. Kila wizara imeamuliwa iangalie katika vifungu vyake itatoa wapi pesa na shughuli za kifungu husika zisimame mpaka bajeti ya mwakani
4. Mpaka sasa kwa wastani kila wizara inatumia zaidi ya Billion mbili kwa shughuli za kuadhimisha Miaka 50 ya uhuru
5. Inasemekana viongozi wa CCM wamekasirika kuambiwa kwamba hawajafanya lolote tokea tupate uhuru.

Naumia sana nikijiuliza: hivi jumla tuna wizara na Taasisi ngapi za Serikali? Mpaka hili zoezi la kujisafisha liishe jumla itatumika bei gani? katika kipindi hiki ambacho uchumi unadorora ni kwanini hizo pesa zisielekezwe katika maeneo yatakayo punguza makali? kama vile kuongeza ruzuku kwa wazalishaji na wasafirishaji bidhaa nje ya nchi, Kwanini wataalamu wetu Serikalini wanaendeshwa kiasi hiki na wana siasa? Hivi CCM wanaona ni sawa kusheherekea miaka 50 ya uhuru huku ukienda madukani unakutana mpaka na maziwa freshi, mboga za majani na matunda kutoka nje ya nchi?????????????????? AAAAAAAAAGR!!


Mkuu hujaamka nazo kweli ? Nimesoma sijaelewa kitu kimoja , ujumbe uko clear kichwa cha habari mbona kimekaa kilevi levi ?
 
Duh! kweli jumatatu huwa ni ya 'blue' ..... mkuu kunywa siku za Ijumaa na Jumamosi, kwa Jumapili madhara yake ndiyo haya. Tena wewe si wa bia za kawaida bali konyagi poli.
 
Leo nimeharibu siku yangu nimepita maeneo ya Hazina pale nikamsikia Afisa mmoja akizungumza na mwenzake kwa uchungu sana. Vitu muhimu nilivyo vi-note ni kama ifuatavyo.

1. Kila wizara imelazimishwa ifanye maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru, wakati serikali ipo katika hali ngumu sana kifedha.
2. Wizara zoote hazikubajeti pesa kwa ajiri ya shughuli hii
3. Kila wizara imeamuliwa iangalie katika vifungu vyake itatoa wapi pesa na shughuli za kifungu husika zisimame mpaka bajeti ya mwakani
4. Mpaka sasa kwa wastani kila wizara inatumia zaidi ya Billion mbili kwa shughuli za kuadhimisha Miaka 50 ya uhuru
5. Inasemekana viongozi wa CCM wamekasirika kuambiwa kwamba hawajafanya lolote tokea tupate uhuru.

Naumia sana nikijiuliza: hivi jumla tuna wizara na Taasisi ngapi za Serikali? Mpaka hili zoezi la kujisafisha liishe jumla itatumika bei gani? katika kipindi hiki ambacho uchumi unadorora ni kwanini hizo pesa zisielekezwe katika maeneo yatakayo punguza makali? kama vile kuongeza ruzuku kwa wazalishaji na wasafirishaji bidhaa nje ya nchi, Kwanini wataalamu wetu Serikalini wanaendeshwa kiasi hiki na wana siasa? Hivi CCM wanaona ni sawa kusheherekea miaka 50 ya uhuru huku ukienda madukani unakutana mpaka na maziwa freshi, mboga za majani na matunda kutoka nje ya nchi?????????????????? AAAAAAAAAGR!!


Halafu tunamlaumu Jairo, haka kanchi kameshakufa kanatembea kwa kudra za mwenyezi Mungu. Hapo wajanja wanakamua tena mshiko, si wameruhusiwa kufanya hivyo. Nchi ya kukurupuka hii, yaani mwaka jana wakati wanabajeti hawakujua kuna maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru?
 
Leo nimeharibu siku yangu nimepita maeneo ya Hazina pale nikamsikia Afisa mmoja akizungumza na mwenzake kwa uchungu sana. Vitu muhimu nilivyo vi-note ni kama ifuatavyo.

1. Kila wizara imelazimishwa ifanye maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru, wakati serikali ipo katika hali ngumu sana kifedha.
2. Wizara zoote hazikubajeti pesa kwa ajiri ya shughuli hii
3. Kila wizara imeamuliwa iangalie katika vifungu vyake itatoa wapi pesa na shughuli za kifungu husika zisimame mpaka bajeti ya mwakani
4. Mpaka sasa kwa wastani kila wizara inatumia zaidi ya Billion mbili kwa shughuli za kuadhimisha Miaka 50 ya uhuru
5. Inasemekana viongozi wa CCM wamekasirika kuambiwa kwamba hawajafanya lolote tokea tupate uhuru.

Naumia sana nikijiuliza: hivi jumla tuna wizara na Taasisi ngapi za Serikali? Mpaka hili zoezi la kujisafisha liishe jumla itatumika bei gani? katika kipindi hiki ambacho uchumi unadorora ni kwanini hizo pesa zisielekezwe katika maeneo yatakayo punguza makali? kama vile kuongeza ruzuku kwa wazalishaji na wasafirishaji bidhaa nje ya nchi, Kwanini wataalamu wetu Serikalini wanaendeshwa kiasi hiki na wana siasa? Hivi CCM wanaona ni sawa kusheherekea miaka 50 ya uhuru huku ukienda madukani unakutana mpaka na maziwa freshi, mboga za majani na matunda kutoka nje ya nchi?????????????????? AAAAAAAAAGR!!


Hapo penye RED, TOOTHpick Toka CHINA. Kwa nini Shilingi isiporomoke. Mmekalia politics mkijua ndio zinazowapa ulaji.
 
nenda soko la ubungo, mwenge, buguruni jioni ni sandals za kichina ambazo zinaharibika baada ya wiki, TZ nourmer!!
 
Kipaumbele cha mafisadi wa ccm na serikali yao ni maonesho tu. hata kama 90% ya vinavyooneshwa ni vya uongo
 
Mkuu hujaamka nazo kweli ? Nimesoma sijaelewa kitu kimoja , ujumbe uko clear kichwa cha habari mbona kimekaa kilevi levi ?

Jamani mbona anaeleweka vizuri sana??? Nyie msioelewa ndiyo mmeamka nazo!!! Ahsante sana Mkuu kwa kutuletea nyeti hizi!!! Wapinzani wapige kelele nyingi sana bungeni na majukwaani kupinga ubadhirifu huu!!
 
mi nilishasema humu mwakani mwez wa pili nchi itakuwa haina pesa kabisa..
 
Leo nimeharibu siku yangu nimepita maeneo ya Hazina pale nikamsikia Afisa mmoja akizungumza na mwenzake kwa uchungu sana. Vitu muhimu nilivyo vi-note ni kama ifuatavyo.

1. Kila wizara imelazimishwa ifanye maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru, wakati serikali ipo katika hali ngumu sana kifedha.
2. Wizara zoote hazikubajeti pesa kwa ajiri ya shughuli hii
3. Kila wizara imeamuliwa iangalie katika vifungu vyake itatoa wapi pesa na shughuli za kifungu husika zisimame mpaka bajeti ya mwakani
4. Mpaka sasa kwa wastani kila wizara inatumia zaidi ya Billion mbili kwa shughuli za kuadhimisha Miaka 50 ya uhuru
5. Inasemekana viongozi wa CCM wamekasirika kuambiwa kwamba hawajafanya lolote tokea tupate uhuru.

Naumia sana nikijiuliza: Hivi jumla tuna wizara na Taasisi ngapi za Serikali? Mpaka hili zoezi la kujisafisha liishe jumla itatumika bei gani? katika kipindi hiki ambacho uchumi unadorora ni kwanini hizo pesa zisielekezwe katika maeneo yatakayo punguza makali? kama vile kuongeza ruzuku kwa wazalishaji na wasafirishaji bidhaa nje ya nchi.

Kwanini wataalamu wetu Serikalini wanaendeshwa kiasi hiki na wana siasa? Hivi CCM wanaona ni sawa kusheherekea miaka 50 ya uhuru huku ukienda madukani unakutana mpaka na maziwa freshi, mboga za majani na matunda kutoka nje ya nchi?

AAAAAAAAAGR!!

Mkuu hujaamka nazo kweli ? Nimesoma sijaelewa kitu kimoja , ujumbe uko clear kichwa cha habari mbona kimekaa kilevi levi ?

Lunyungu naamini uwezo wako wa kufikiri ni mkubwa tuu hebu jaribu kusoma point namba5 alafu oanisha na kichwa cha habari usipoelewa ni-PM kwa ufafanuzi zaidi
 
Msishangae, Upeo wa ccm umefikia kikomo. Dawa ni siku ya uhuru tufanye maandamano makubwa nchi nzima kupinga ubadhirifu wa fedha zetu kulazimisha kusherehekea kisicho sheherekeka. Tunataka fedha zetu zitumike kwenye maendeleo siyo anasa. Polisi watakuwa bize na hawataweza kuzuia maandamano yote. Mwisho wa siku kitumbua kitaingia mchanga na Ujumbe utafika kwa hao wageni watakaokuja.
 
Jamani mbona anaeleweka vizuri sana??? Nyie msioelewa ndiyo mmeamka nazo!!! Ahsante sana Mkuu kwa kutuletea nyeti hizi!!! Wapinzani wapige kelele nyingi sana bungeni na majukwaani kupinga ubadhirifu huu!!

Mtoa mada kaeleweka vizuri tu, nafikiri hawa wanaompinga ki wale TASK FORCE wa mafisadi wa kitengo cha vuruga JF msg sisi tumeielewa bana
 
Mkuu hujaamka nazo kweli ? Nimesoma sijaelewa kitu kimoja , ujumbe uko clear kichwa cha habari mbona kimekaa kilevi levi ?

mkuu mbona iko wazi? vipi maandalizi ya miaka 50 yanaeneleaje?of cource tunakivunia AMANI na UVUMILIVU!
 
Maadhimisho yanafanyika kila mkoa na wilaya ambapo mabanda hujengwa, kupambwa na kwekewa watumishi humo kufanya maonyesho. Nahisi hii linaongezea kwenye bilioni ulizozitaja kwa kila wizara. Du Kama kupanga ni kuchagua hapa tumeingizwa "vichakani"
 
hili suala la kuwaita hawa jamaa wajanja kunafanya waonekane wana akili wakati wana resources zote lakini hawezi hata kupanga wazitumieje!
'Wajanja' ni akina Bill Gates, Steve Jobs, Masoud Kipanya na wajasiriamali wengine wanaoweza kuplan na kusimamia miradi yao lakini hawa ni wajinga na wezi.
serikali ya kisela hata mambo yake huenda kisela sela tu
Maadhimisho yanafanyika kila mkoa na wilaya ambapo mabanda hujengwa, kupambwa na kwekewa watumishi humo kufanya maonyesho. Nahisi hii linaongezea kwenye bilioni ulizozitaja kwa kila wizara. Du Kama kupanga ni kuchagua hapa tumeingizwa "vichakani"
Halafu tunamlaumu Jairo, haka kanchi kameshakufa kanatembea kwa kudra za mwenyezi Mungu. Hapo wajanja wanakamua tena mshiko, si wameruhusiwa kufanya hivyo. Nchi ya kukurupuka hii, yaani mwaka jana wakati wanabajeti hawakujua kuna maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru?
 
Mkuu hujaamka nazo kweli ? Nimesoma sijaelewa kitu kimoja , ujumbe uko clear kichwa cha habari mbona kimekaa kilevi levi ?
hata mie naungana nawe hii ina chenga na sijaamka nazo maana hata coka huwa sinywi. Nilitegemea mabililioni yametengwa kuwajibu wapinzani kuhusu jambo fulani.
 
Back
Top Bottom