Pa kuanzia ni kufuatilia historia ya jinsi suala hili lilivyoanza na jinsi wanasiasa walivyojiingiza. Ni kweli kabisa mtu mmoja ambaye si mamlaka husika kuweza rejesha pesa zilizofichwa nje ya nchi. AG alishawahi kuelezea suala hili lakini watu wakampa za kwake hapa JF na kuonekana kwamba si mzalendo.
Hata kama ni kufuatilia mfumo, nao pia hauwezi kubadilishwa nje ya mamlaka husika.
Hata kama ni kufuatilia mfumo, nao pia hauwezi kubadilishwa nje ya mamlaka husika.