Mabifu kwa wasanii wa tanzania

Mabifu kwa wasanii wa tanzania

Joined
Oct 23, 2012
Posts
6
Reaction score
2
Hivi hili suala la wasanii wa kike kutoelewana unalichukuliaje kwa 7bu naona kila siku wanapigana madongo EATV mara Snura na Wema hawaelewani ooh sijui Shilole na Flora Mvungi mmm haya bwana eti na sisi tunawaita vioo vya jamii mimi hapana kabxa hapo......nachowashauri WAACHE MABIFU NA KUTOELEWANA SISI SOTE NI WATANZANIA.....
 
Mimi siwachukulii wasanii kuwa ndiyo vioo vya jamii. Na bifu kwenye usanii ni mambo ya kawaida sana. Hata Nicki Minaj na Mariah bado wanaki-beef chao kinaendelea. Usanii si kazi ya lelemama. Iko very competitive na kama wewe hauko aggressive vya kutosha basi huenda ukakosa longevity kwenye game.
 
Umekosea kufikiri hao ni vioo vya jamii! Kama ingekuwa hivyo nadhani tungekuwa na jamii ya vichaa tupu!

Hivi hili suala la wasanii wa kike kutoelewana unalichukuliaje kwa 7bu naona kila siku wanapigana madongo EATV mara Snura na Wema hawaelewani ooh sijui Shilole na Flora Mvungi mmm haya bwana eti na sisi tunawaita vioo vya jamii mimi hapana kabxa hapo......nachowashauri WAACHE MABIFU NA KUTOELEWANA SISI SOTE NI WATANZANIA.....
 
Back
Top Bottom