kinundu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 2,029
- 2,129
Shahidi number mojaMimi nimeishi pale long time, hapakuwa na nyumba chini ya nguzo, watu ndio wamefuata nguzo, pale Peninsula lilikuwa dampo
Shahidi number mojaMimi nimeishi pale long time, hapakuwa na nyumba chini ya nguzo, watu ndio wamefuata nguzo, pale Peninsula lilikuwa dampo
Unataka kusema imekula kwaooHakuna aliyewapa ruhusa wewe!! Mi nakwambia nimekaa mabibo zaidi ya miaka 25 iliyopita, walikuja wenyewe tu, na pale palikuwa jalala kubwa tu, wakajimegea maeneo kimya kimya basi! Ila wenyeji tulikuwa tunawacheka tu
Upo ndani ya 33kv unategemea nini ?Kama alisema ole wao nitawale ...
Awamu zilizopita ilikuwaje?Ni kwa usalama wao..
Ila lazima walidharau kabla ombi la wao kuambiwa wahame.. wakifikiri ni awamu zilizopita..
ndio maana CCM itatawala milele kama hizi ndio akili za upinzani,yaani mpigiwe kura kisa mtaruhusu watu waishi sehemu hatarishi,nimesikitishwa sana kuona nchi hii bado ina watu wana uwezo mdogo kiasi hiki kichwani,poor you!Chadema 2020 tunatengenezewa njia rahis ya kuchukua dolla.
$wissme