Hakuna anayemuhukumu ila historia ya aliyoyatenda huko nyuma ndio inayomuhukumuHivi ninyi mnaomhukumu Marando kama vile ni mkimbizi-mvurugaji, mnajua keshafanya mangapi ya kimkakati yaliyonufaisha Chadema hata kabla ya kuja hadharani kutangaza kuhamia? Nijuavyo mie, kama uanachama sio kadi basi Marando ni Chadema toka kitambo kidogo.
amejirudi jamani msameheni huyo mwanasheria na memba wa usalama wa taifa huenda akasaidia.
Kuna mashushu wengi tu wamekuwa mstari wa mbele kupigania mageuzi. To mention a few ni kuwa James Mapalala ni ofisa usalama wa Taifa aliyekuwa mstari wa mbele kupigania "mageuzi", Harold Jaffu ofisa usalama wa taifa mzuri tu aliyefanya kazi nzuri sana ya kuhakikisha TLP haipati nguvu hata kidogo, mabere marando amefanya azi nzuri sana ya kuhakikisha NCCR Mageuzi inakuwa kopo tu. Huwa Mabere hashindwi assignments zake, TISS wanajua kuwa yeye ni mtu smart na capable. He will deliver the goods and CHADEMA will go to their knees sooner than later.
Serikali iliposema inaruhusu vyama vingi vya siasa, ilifanya hivyo ili kuwaridhisha donors lakini ukweli ni kuwa haitaki na wala haikutaka. Mpaka leo watu wa usalama wa Taifa wanaambiwa kabisa kuwa mama ni CCM (sio Tanzania) so at any cost CCM itaendelea kulindwa na kuhakikisha inapata ushindi. Mnaosema kuwa mapandikizi ya CCM sasa hawako active TISS mnaota ndoto za mchana, just ask George Liundi atawaeleza. So if you think Marando is harmless you are dreaming, just wait and see.
Ni vigumu sana kukuamini wewe MMKJ kwani hata wewe upo against CHADEMA. Kule kuna thread ya kuhusu muasisi wa CCJ kujiunga TLP, so hatujui wewe utakuwa uko upande upi baada ya ile project kufa (maybe upo sambamba na Mabere). Kwa hiyo kwa sasa wale wote wanaotiliwa mashaka na CHADEMA waache waendelee kuwa under surveillance hadi baada ya uchaguzi.Acheni utani jamani Mabere siyo ajenti wa TISS na wala hajawahi kuwa ajenti wa TISS.. kama makumi ya watu ambao wamekuwa wakijipitisha kuwa ni maajenti wa TISS.. ni wale wanaoitwa huku "starving artists"
Mageuzi hayaji kwa kuletewa mezani kwenye sahani, historia inatufundisha kuwa mageuzi yoyote ya kweli yanakuja kwa misuko suko yenye mchanganyiko wa ushindi, kushindwa, kujifunza na kuvumilia.
Leo hapa tunaviangalia NCCR, TLP, UDP n.k kama somo la kwa nini upinzani una hali mbaya Tanzania, kabla ya 1992 na bila juhudi za kina Mabere Marando tusingekuwa na NCCR wala chama cha kukiongolea. Sasa unapotaka kutushawishi tuachane na sababu za kisayansi na badala yake tukubali kuwa vyama vya upinzani vinakufa kwa sababu vimejaa Wapelelezi wa usalama wa Taifa bila ushahidi wowote ni kuturudisha nyuma.
Wanabodi wameweka hapa structural problems zilizojionyesha NCCR (kuwepo Mrema juu kuliko chama), sasa iwapo unaona hata CCM, Chadema etc na wao wana hizo structural issues; tuwekee hapa nina uhakika wanabodi watachangia kufanunua kwa nini NCCR imeumia lakini CCM bado inazidi kuwa imara.
Kwani mna uhakika gani kwamba hata Dr Slaa sio TISS? Waseminari wengi walioshindwa upadre walichukuliwa huko. La kujiuliza hapa ni kwamba Marando atakuwa "asset" au "liability" kwa CHADEMA?
yaan kama alivyo kwenye avatar yake! uongo oungo tu
Kwani mna uhakika gani kwamba hata Dr Slaa sio TISS? Waseminari wengi walioshindwa upadre walichukuliwa huko. La kujiuliza hapa ni kwamba Marando atakuwa "asset" au "liability" kwa CHADEMA?
Acheni utani jamani Mabere siyo ajenti wa TISS na wala hajawahi kuwa ajenti wa TISS.. kama makumi ya watu ambao wamekuwa wakijipitisha kuwa ni maajenti wa TISS.. ni wale wanaoitwa huku "starving artists"