Yule Mwanasiasa machachari wa mageuzi Mpiganaji Mabere Nyaucho Marando, amechukua form ya kugombea Uspika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano kupitia CHADEMA.
Pamoja na yeye kuna vijana wengine kama watatu waliojitokeza kupitia CHADEMA. (Source: ITV News Bulletin)
Kama muujiza ukitokea na Marando akawa Spika wa Bunge, basi Katiba Mpya iko mbioni kupatikana kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015. Pia itakuwa ni pigo kubwa kwa Mafisadi wote.
CCM hawawezi kufanya kosa kama hilo
Niliwahi kusikia Mbowe akisema Dr. Slaa akikosa Urais basi atagombea Uspika. Au mipango imebadilika?
Pia Dr. Slaa amesikika akiwaambia wananchi kuwa atawatumikia akiwa Katibu Mkuu CHADEMA.
Imekaaje hii?
Yule Mwanasiasa machachari wa mageuzi Mpiganaji Mabere Nyaucho Marando, amechukua form ya kugombea Uspika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano kupitia CHADEMA.
Pamoja na yeye kuna vijana wengine kama watatu waliojitokeza kupitia CHADEMA. (Source: ITV News Bulletin)
Kama muujiza ukitokea na Marando akawa Spika wa Bunge, basi Katiba Mpya iko mbioni kupatikana kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015. Pia itakuwa ni pigo kubwa kwa Mafisadi wote.
Mtu Mmoja, CCM mpaka sasa tayari wana candiadtes 12 tofauti na miaka yote. Ushindani Mkubwa unaonekana utakuwa kati ya majina makubwa kama: Samuel Sitta; Andrew Chenge. Anna Abdalah na Anna Makinda.
Kama ushindani ukiwa mkubwa na ukaweka makundi ambayo hayavunjika, kuna hatari ya kupiga kura za chuki na kuupa upinzani ushindi.
Hata hivyo hili linaweza kutegemea na upinzani kama utakubaliana kutoa candidate moja.
Kama nilivyosema, kama muujiza huu utawezekana, then Tanzania yenye neema, ile ya Asali na Maziwa inaweza kuzaliwa!
cha cha cha! Kaka usitoe siri, yaache hayo mavuvuzela ya kijani yajichanganye wampe marando uspika halafu ndio wapate bakora yao! Otherwise thank you for the good news!
cha cha cha! Kaka usitoe siri, yaache hayo mavuvuzela ya kijani yajichanganye wampe marando uspika halafu ndio wapate bakora yao! Otherwise thank you for the good news!
hashwaaaa!! tuwakaushie kwanza wapate supraizzz
Piga picha ifuatayo ya safu ya hoja Nzitto kwa maslahi ya taifa:
1. Spika - Marando - (Muunda Kamati)
2. Tindu Lissu - Hoja binafsi ya Katiba
3. Mwakyembe - Mwenyekiti wa Tume Maalumu ya Kuunda Katiba Mpya
4. Zitto Kabwe - Mjumbe wa Kamati
5. Halima Mdee - Mjumbe wa Kamati na Katibu wa Kamati
6. Anne Kilango - Mjumbe wa Kamati
7. Freeman Mbowe - Mjumbe wa Kamati
8. Hamadi Rashidi - Makamu Mwenyekiti wa Kamati
.
.
.
Hebu nimalizieni kamati hii ya watu 10 itakayoleta Tanzania Mpya . . . . Mmmh! Au naota tu?
Piga picha ifuatayo ya safu ya hoja Nzitto kwa maslahi ya taifa:
1. Spika - Marando - (Muunda Kamati)
2. Tindu Lissu - Hoja binafsi ya Katiba
3. Mwakyembe - Mwenyekiti wa Tume Maalumu ya Kuunda Katiba Mpya
4. Zitto Kabwe - Mjumbe wa Kamati
5. Halima Mdee - Mjumbe wa Kamati na Katibu wa Kamati
6. Anne Kilango - Mjumbe wa Kamati
7. Freeman Mbowe - Mjumbe wa Kamati
8. Hamadi Rashidi - Makamu Mwenyekiti wa Kamati
.
.
.
Hebu nimalizieni kamati hii ya watu 10 itakayoleta Tanzania Mpya . . . . Mmmh! Au naota tu?
Kama ni hivi baada tu ya wiki rais anavunja bunge.Piga picha ifuatayo ya safu ya hoja Nzitto kwa maslahi ya taifa:
1. Spika - Marando - (Muunda Kamati)
2. Tindu Lissu - Hoja binafsi ya Katiba
3. Mwakyembe - Mwenyekiti wa Tume Maalumu ya Kuunda Katiba Mpya
4. Zitto Kabwe - Mjumbe wa Kamati
5. Halima Mdee - Mjumbe wa Kamati na Katibu wa Kamati
6. Anne Kilango - Mjumbe wa Kamati
7. Freeman Mbowe - Mjumbe wa Kamati
8. Hamadi Rashidi - Makamu Mwenyekiti wa Kamati
.
.
.
Hebu nimalizieni kamati hii ya watu 10 itakayoleta Tanzania Mpya . . . . Mmmh! Au naota tu?
Piga picha ifuatayo ya safu ya hoja Nzitto kwa maslahi ya taifa:
1. Spika - Marando - (Muunda Kamati)
2. Tindu Lissu - Hoja binafsi ya Katiba
3. Mwakyembe - Mwenyekiti wa Tume Maalumu ya Kuunda Katiba Mpya
4. Zitto Kabwe - Mjumbe wa Kamati
5. Halima Mdee - Mjumbe wa Kamati na Katibu wa Kamati
6. Anne Kilango - Mjumbe wa Kamati
7. Freeman Mbowe - Mjumbe wa Kamati
8. Hamadi Rashidi - Makamu Mwenyekiti wa Kamati
.
.
.
Hebu nimalizieni kamati hii ya watu 10 itakayoleta Tanzania Mpya . . . . Mmmh! Au naota tu?
It is possible bunge lina viti kama 323 hivi hadi sasa wapinzani wana kura(viti) kama 100 bado kama 50, mavuvuzela yakijichanganya kama yalivyoanza kuzomeana kwenye vyombo vya habari yanagawa kura zao kwa chuki wakitahamaki tayari kumekucha.
Mtu Mmoja, CCM mpaka sasa tayari wana candiadtes 12 tofauti na miaka yote. Ushindani Mkubwa unaonekana utakuwa kati ya majina makubwa kama: Samuel Sitta; Andrew Chenge. Anna Abdalah na Anna Makinda.
Kama ushindani ukiwa mkubwa na ukaweka makundi ambayo hayavunjika, kuna hatari ya kupiga kura za chuki na kuupa upinzani ushindi.
Hata hivyo hili linaweza kutegemea na upinzani kama utakubaliana kutoa candidate moja.
Kama nilivyosema, kama muujiza huu utawezekana, then Tanzania yenye neema, ile ya Asali na Maziwa inaweza kuzaliwa!