mabasi ya mwendo kasi haya hapa

mabasi ya mwendo kasi haya hapa

englibertm

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2009
Posts
9,252
Reaction score
6,210
1466262_201784353339922_1313604884_n.jpg
 
Yatakuwa na Fan sio AC,
Yatakuwa na TBC sio TV,
Yatakuwa RTD siyo Radio,
Yatapabwa na benddera ya CCM siyo ya Taifa,
Yatauwa startimes na sio King'amuzi!
 
Hawa jamaa wangeleta package ya mega ride wangetusaidia sana. Unakata ticket ya miezi 6 ama mwaka mzima you keep riding.
Kila la kheri. Maintainance ya project ndo wasiwasi wangu.
 
Tatizo ni hii nyomi ya bongo yatawezeza kuzidisha mzigo zaidi ya mara 5? Maana tumeishashuhudia kama hayo yakibuma baada ya muda mfupi sana. Yalikuepo ya mbagala na segerea sasahivi wamepaki.
 
Umeandika mabasi nikafikri ni mengi, kumbe ni moja tu
 
Back
Top Bottom