Mmmmm askari wanatakiwa kwenye doria ....sio kila bus sijui kama unaelewa unachokitaka ? Doria barabarani usiku ndio suala la msingi sio vinginevyoSiyo mabasi yote, yale tu yanayotembea usiku, Mfn: kuna mabasi yanatoka stand saa 1 jioni pia saa 3 usiku.
Dar tu mza
Arusha tu mza n. k