Mabasi Mapya ya Mwendokasi ya MOFAT yatua Dar

Mabasi Mapya ya Mwendokasi ya MOFAT yatua Dar

Tunaipongeza serikali kwa hilo!
Kama usingekuwa Ufisadi,Rushwa,Hasara na Ufujaji wa fedha za Umma kama ulivyoripotiwa na CAG serikali ingefanya makubwa.
Lakini hata hivyo yale Yaliyomsukuma Polepole ajiuzulu na
No reform No Election bado yako mezani wananchi hawajasahau!
 
Kwahiyo sisi YANGA wajingaaaa KUCHAGUA kijani
Kijani heshimaa apopote palee
Mbona unauliza jibu dogo, kumbuka Mungu wenu Manara alishawahi kunukuliwa akiwasema wana Yanga kuwa wote ni wajinga mwenye akili pale Yanga ni baba yake tu na Kikwete.
 
Kuna mawili:

Rangi imechaguliwa na kupelekwa Production line.

Au pili, mabasi yamebadilishwa rangi iwe ya kijani baada ya kutoka production line.

Kwa manufaa ya nani?

Tumuulize Lucas Mwashambwa na timu yake.
subscribed
 
Mofat imeingiza Mabasi tayari. Sijapenda yalivyo na rangi ya CCM. Hii ni Nchi ya Vyama vingi. Au aliambiwa usipopaka kijani hatukupi Tenda?
View attachment 3405778
KAMPUNI ya Kitanzania ya MOFAT ambayo ilipewa mkataba wa miaka 12 na Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) kwa ajili ya kuendesha Awamu ya Pili ya mfumo wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT), unaotoka Gerezani hadi Mbagala kaingiza Maghari tayari katika bandari ya Dar es Salaam.

Kampuni hiyo ya MOFAT iilidai mabasi haya 255 yatatumia gesi.
Haya mabasi yamenunuliwa na MOFAT?
 
Back
Top Bottom