mabango ya kujiunga na free mason

mabango ya kujiunga na free mason

nkisumuno

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2012
Posts
208
Reaction score
72
wanajamvi huku kwetu kumebandikwa mabango kwa wale wanaotaka kujiunga na free mason, sijui tanzania tunaenda wapi.wameweka namba ya kuwapigia, natoa wito kwa tunao mjua tukemee hali hii. mimi nipo nyololo.
 
Hapa morogoro vipeperushi vimemwagwa barabarani vinahamasisha watu wajiunge.halafu watu wenyewe sijui wakenya maana anwani yao ni ya nairobi
 
Brother don't risk your life for these shits.
 
ukipiga hizo namba mwisho wa siku utaambiwa utume pesa za registration. ( usajili) ukituma tu umeliwa. hao ni matapeli
 
Free masson ndio nini??? Huoni ni ujinga hata kuogopa ujinga kama huu. Ati tukemee! Weye ndio wa kukemea. Woga wako ndio utakumaliza.
Hata anwani ukiona ni nyumba ya jirani weye nenda na njia zako. Wangekuwa na uwezo basi wangewachukua watu woote. Wanakuambia uombe kujiunga nao ili iweje?
Tatizo la Tz yetu hata ukianzisha chama cha kula nyama ya watu, humalizi siku 3 kabla hujapata mteja. Acha wafu wazikane haooo
 
Nahic watakuwa na kampeni ya nchi nzima. Nimepita hiv karibuni baadhi ya maeneo ya mikoa ya Katavi, Rukwa na Mbeya nimeona yamewekwa kwa nguvu zote but wajinga ndo waliwao cku zote.
 
freemason hawafanyi kazi zao namna hiyo wale ni secret society acheni kulishana pumba hao ni matapeli wakubwa
 
wanajamvi huku kwetu kumebandikwa mabango kwa wale wanaotaka kujiunga na free mason, sijui tanzania tunaenda wapi.wameweka namba ya kuwapigia, natoa wito kwa tunao mjua tukemee hali hii. mimi nipo nyololo.
mganga%21.jpg

 
hahaha freemasons wanajiunga online. huo ni wizi. kwanza ningekuwa mimi ningemfuata huyo 'docta' kisha namwomba malipo ya kodi ya TRA kama hajahama mji
 
dr chipoteka upo juuuu hadi freemasons ya London!
 
wanajamvi huku kwetu kumebandikwa mabango kwa wale wanaotaka kujiunga na free mason, sijui tanzania tunaenda wapi.wameweka namba ya kuwapigia, natoa wito kwa tunao mjua tukemee hali hii. mimi nipo nyololo.

nitumie no yao!
 
Back
Top Bottom