Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,618
- 33,475
Hello wana JF,
Leo nimeona nimshauri Magufuli kuwatumia mabalozi wake wa nje Kama washauri...
Mabalozi wako exposed to different countries ways of living....
Hi yo basi wanajua kinachoendelea ulimwenguni..,
Kabla ya kufanya any policy angweza kuwa ‘consult’ hawa mabalozi aone nchi nyingine zinafanyaje kwenye swala hilo hilo then ndio Afanye conclusion.....
Mnasemaje?
Leo nimeona nimshauri Magufuli kuwatumia mabalozi wake wa nje Kama washauri...
Mabalozi wako exposed to different countries ways of living....
Hi yo basi wanajua kinachoendelea ulimwenguni..,
Kabla ya kufanya any policy angweza kuwa ‘consult’ hawa mabalozi aone nchi nyingine zinafanyaje kwenye swala hilo hilo then ndio Afanye conclusion.....
Mnasemaje?