Mabalozi mia moja wa CCM Monduli, wahamia CHADEMA

Aliyekua meya wamanispaa ya Bukoba ndgu Anatory Amani amejiunga na CHADEMA rasmi. Aliyekua waziri wa zamani wa nishati na madini Nazir Karamagi amejiunga na CUF

2. Aliyekuwa mgombea udiwani kwa tiketi ya CCM, Keko, Peter Mtisi pamoja na makada 100 wa CCM wamejiunga CHADEMA.

3. Mbuge wa Sikonge Said Nkumba avaa gwanda naye.... ukombozi unaendelea

Hakika haya mafuriko yamemfika mwenyekiti wa ccm shingoni,
Kashindwa kupiga mbizi, akitazama mbele mbali, akitazama nyuma mbali.
 



monduli13.jpg


Mabalozi wa mashina miamoja na kumi wa CCM mwenyekiti katibu kata wajumbe wa kamati ya siasa ya kata pamoja na wenyeviti wa mitaa minne katika kata ya Monduli mjini mkoa Arusha wamehama CCM na kuhamia Chadema.

Tukio ilo limetokea Monduli mjini leo majira ya saa sita mchana wakati viongozi hao walipo kusanyika na kutoa kauli ya kuhama CCM na kuhamia Chadema huku wakieleza sababu zinazo wafanya kufikia maamuzi hayo.

attachment.php

Kwa upande wao wenyeviti wa serikali za mitaa wajumbe wa nyumba kumi na katibu wa CCM kata ya Monduli Anna Erinest wameitaka jamii itambue kuwa hayo ni maamuzi yao binafsi na hayahusiki na shinikizo la mtu yoyote kama inavyo daiwa na baadhi ya watu kila wanaohama udaiwa wameshinikizwa.


 

Attachments

  • 11217571_768381789939464_4558659986331848600_n.png
    11217571_768381789939464_4558659986331848600_n.png
    20.8 KB · Views: 792
  • 11863476_768381819939461_4592419914249185153_n.png
    11863476_768381819939461_4592419914249185153_n.png
    190.1 KB · Views: 4,126
  • 11866449_768381879939455_1853318003599904509_n.png
    11866449_768381879939455_1853318003599904509_n.png
    199.5 KB · Views: 275
Jamani mtawaua wenzenu kila siku mnawapokonya watu sasa nani atawapigia kura hiyo Oct?
 
Wale watu milioni mbili wa Lowassa mpaka sasa wamefika wangapi.?
 
Wale watu milioni mbili wa Lowassa mpaka sasa wamefika wangapi.?
Wameshazidi!!! Hapa tu kila balozi mmoja kaondoka na watu mia,kila diwani aliyeondoka ana watu wake mia saba,kila mbunge kaondoka na takribani watu elfu kumi,lowassa mwenyewe kasepa na kama milioni hivi,kelele za wana ccm zimeadimika kabisa huku mitaani,hii ni ishara kuwa hawapo,wameenda wapi?CDM
 
Aliyekua meya wamanispaa ya Bukoba ndgu Anatory Amani amejiunga na CHADEMA rasmi. Aliyekua waziri wa zamani wa nishati na madini Nazir Karamagi amejiunga na CUF

2. Aliyekuwa mgombea udiwani kwa tiketi ya CCM, Keko, Peter Mtisi pamoja na makada 100 wa CCM wamejiunga CHADEMA.

3. Mbuge wa Sikonge Said Nkumba avaa gwanda naye.... ukombozi unaendelea

Du! Kweli kila chama hufa kwa ugonjwa wake.
 
Na huko Mjini Tanga wanachama wa ccm zaidi ya 300 wamerudisha kadi za ccm ktk ofisi ya katibu wa chama hicho na kujiunga na CHADEMA


Source:ITV Newz
 
Na badoo,subiri kampeni zianze,na hivi leo wametoa majina ya wagombea wa ubunge,kuanzia kesho utasikia maelfu
 
....hii sasa siifaa khaaa hata kampeni haijaanza inatisha......?
 
Back
Top Bottom