Kaka we jina lako la kweli siyo Rajab wewe? Au Rajab siyo bro wako? Manake huyo Mwigullu kafumaniwa na mke wa Rajab halafu we unajifanya huelewi!Tupe hizo nyuzi kashikwa UGONI wapi mie ni mtu wake wa kalibu sina hizo!!!!
mkuu website inaitwa tanzagiza.com ..unataka website yao iwe na rangi nyeupe au? hilo weusi ndiyo giza lenyewe!
<br />[QAAAAAUOTE=CAMARADERIE;2517812]<img src="http://tanzagiza.com/wp-content/uploads/2011/09/07kurabalo.jpg" border="0" alt="" />
<br />mkuu hata kama wanaitwa tanzagiza,warekebishe,maana hata post za watu hazisomeki!text zinapotelewa kwenye giza,na inapoteza maana.
Huyo mzee aliisha achana na ubalozi siku nyingi na si kada tena wa CCM.Huu ni ujanja wa CDM kutaka kujisafisha kwa kitendo cha aibu walichomfanyia DC.Watu wa Igunga wanajua ukweli labda wadanganyeni watu wa Arusha na K'njaro.