Mabaharia wenzangu, ukitembea na pisi kali, hakikisha unabebesha mimba

Usiangalie wingi quantity pia angalia na u bora quality

Uzuri au waswahili mnaita pisi Kali unabidi kuendana na brain.

Maana dunia imeshatoka katika mwonekano wa MTU wa nje dunia ya Leo. Inaangalia potential na value.

So kuzaa na pisi Kali italeta maana hiyo Pisa kali inajitambua kichwani. Na Ina uchumi imara.
 
Chizi anafurahisha akiwa wa Jirani yako,kwani lazima uzae nae.

Unamjua Kevin Twisa yule kagonga sana Mamiss wa waliokuwa wakishiriki Miss Tanzania,enzi hizo akiwa Vodacom kama mkuu wa kitengo cha mauzo na hajawazalisha hovyo.

Mbona ngozi kama hizo hata sisi tunagonga,hila hatuna ulimbukeni ulikuwa nao ww.
Kutokuwazalisha ni aina fulani ya udhaifu, kataa ukubali huo ndio ukweli; ndio maana wengine wanahonga nyumba n.k baada ya kuweka nembo(watoto).

Tofauti na hapo itakuwa ni stori tu, na watakudharau pale mtakapoachana.​
 
Usiangalie wingi quantity pia angalia na u bora quality

Uzuri au waswahili mnaita pisi Kali unabidi kuendana na brain.

Maana dunia imeshatoka katika mwonekano wa MTU wa nje dunia ya Leo. Inaangalia potential na value.

So kuzaa na pisi Kali italeta maana hiyo Pisa kali inajitambua kichwani. Na Ina uchumi imara.
Ukifuatilia sana maisha ya duniani ni ubatili mtupu, muhimu tuache asili (nature) iamue.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom