Abuwhythum
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 838
- 496
Kwa kawaida Ajira za Walimu zilikuwa zikitoka January na Walimu walikuwa wakiwasili vituoni walipopangiwa mapema Mwezi wa Pili, lakini kwa miaka takriban mitatu iliyopita kuna Mwezi mmoja mmoja unasogezwa mbele juu ya Ajira za Walimu! Mathalan; Walimu wapya walienda vituoni kama ifuatavyo:-
2012 reporting ilikuwa February (kama kawaida) ila kuanzia:
2013 reporting ilikuwa March
2014 reprting ilikuwa April
2015 reporting imekuwa May
Mwenye taarifa sahihi juu ya Mabadiliko haya naomba tuelimishane. Maana mimi sielewi ni nini hapo!
2012 reporting ilikuwa February (kama kawaida) ila kuanzia:
2013 reporting ilikuwa March
2014 reprting ilikuwa April
2015 reporting imekuwa May
Mwenye taarifa sahihi juu ya Mabadiliko haya naomba tuelimishane. Maana mimi sielewi ni nini hapo!