Mabadiliko ya Tarehe Ajira za Walimu

Mabadiliko ya Tarehe Ajira za Walimu

Abuwhythum

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2015
Posts
838
Reaction score
496
Kwa kawaida Ajira za Walimu zilikuwa zikitoka January na Walimu walikuwa wakiwasili vituoni walipopangiwa mapema Mwezi wa Pili, lakini kwa miaka takriban mitatu iliyopita kuna Mwezi mmoja mmoja unasogezwa mbele juu ya Ajira za Walimu! Mathalan; Walimu wapya walienda vituoni kama ifuatavyo:-
2012 reporting ilikuwa February (kama kawaida) ila kuanzia:
2013 reporting ilikuwa March
2014 reprting ilikuwa April
2015 reporting imekuwa May
Mwenye taarifa sahihi juu ya Mabadiliko haya naomba tuelimishane. Maana mimi sielewi ni nini hapo!
 
Kbongo bongo bana mwalimu anaitimu mwenzi wa 5 ajra anapata baada ya mwaka kupita au robo tatu ya mwaka.
 
tusitegemee sana kwa jirani jaribu kuumiza kichwa kwa kutumia elimu yako uliyoipata katika kujenga mwanzo wa maisha utafanikiwa adi kuajiliwa utakuwa utaki tena kutokana na mafanikio utakayo pata
 
Back
Top Bottom