Mabachela wa tz wanavyonyonywa kiuchumi

MPAMBANAJI.COM

JF-Expert Member
Mar 2, 2011
712
331
Kama weye ni bachela, pole sana ila pia hongera kwa kuweza kupangisha na kuacha ugali wa shikamoo kwa yeyote aliyekulea.


Mhh.... embu jiulize hapo unapoishi mpo mabachela tuuu, je muda wa kurudi ni saa ngapi,, unacha ngapi bar, gest house au safarini....

Kama unaishi na wenye familia za kiafrika,.... je mwisho wa mwezi bili ya maji unalipa shs ngapi sawa na nani? na umeme je?

Jibu unalo... mfano..katika nyumba uliyopanga kuna vyumba 6 vyeye familia..inayotumia maji, umeme ila bill zote mnalipa sawa....
Embu fikiria kwanini bill isilipwe kwa idadi ya watu na sio kwa idadi ya vyumba?

Chambua hili na ulijadili na wapangaji wenzakooo.....

Mie sijamalizia ujenzi ila naweka mabox.... sifaidishi tena watu namna hiiiii.....


badae.
 
nilivyo mtata bili ya maji silipi sawa, labda kidooooogo umeme maana nautumia kwa kasi kikubwa.....
 
shit umeme na maji ni suala la makubaliano! Na maji yenyewe hayapo! So kajipange tena
 
Maji na umeme nalipa sawa na mwenye familia..katika kitu kinachonikera ni hicho..hata wakati mwingine mwezi mmoja nalala home only one week..unakuta siku zingine niko safarini kikazi..ila bill inakuwa constant..hii imesababisha nikaamua kutafuta nyumba inayojitegemea maji na umeme..otherwise ni wizi mtupu.
 
Unaweza kushangaa ili kulipia bills za umeme na maji unatakiwa ukachukue mkopo CRDB....mjini shule.
 
Maji na umeme nalipa sawa na mwenye familia..katika kitu kinachonikera ni hicho..hata wakati mwingine mwezi mmoja nalala home only one week..unakuta siku zingine niko safarini kikazi..ila bill inakuwa constant..hii imesababisha nikaamua kutafuta nyumba inayojitegemea maji na umeme..otherwise ni wizi mtupu.

Lol!Kumbe jamaa kawapatia. Poleni mabachala hasa wenye kipato kidogo maana wenye kipato kikubwa wamepanga nyumba zinazojitegemea wao wanabaki kuibiwa huko kwenye pombe na ufuska.
 
Hivi ishu ni ubachela au nyumba za kupanga?
Unaweza ukawa bachela lakini ukawa unaishi kwenye nyumba yako so adha za kupanga zisikupate kabisa.
 
mkuu umenena pengine mtu anaeongoza kwa kulipia huduma kwenye za kupanga tofauti na matumizi yake ni bachela utakuta umeme anatumia usiku tu maji labda kwa wiki anatumia ndoo chache sana tofauti na wenye familia nyumba hachafui .mi napendekeza kwa wapangishaji bili za huduma ziwe tofauti na wenye familia ikiwezekana hata pango..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom