Mabaamedi siku hizi wajanja....

Mabaamedi siku hizi wajanja....

notifeki

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2013
Posts
402
Reaction score
283
Siku hizi kila ukienda baa ukatoa elf kumi ukaagiza heinekein au bia yoyote utaletewa chenji then utaskia sina mia tatu. Ukiuliza counter kama unadai chenji utaambiwa hapana. Nathani hii ndo TIP ya kibabe.
 
Ha ha ha 300 mara 10 ni sawa na buku 3 duh!? Mjini akili nguvu shamba.
 
Bora hata hao wanaochukua 300!Ukienda Rose Garden Dsm,ukiagiza Safari Lager yako na ukatoa 10,000 unarudishiwa sh 5,000 unaambiwa bia ni 5000,ukitishia uitiwe meneja basi wanakurudishia 3000 wanasema samahani tulisahau!
 
hehehehe.,...
Raha sana kuanzisha thread ukiwa counter.,,so real
 
Nikihesabu 300 nilizoacha baa fulani kwa wiki hii nazani zinafika elf ishirini.
 
kila mtu ni fisadi kwa mwenzie, ukizubaa umeliwa!!!!!!!!!!!:fish2:
 
Bora hata hao wanaochukua 300!Ukienda Rose Garden Dsm,ukiagiza Safari Lager yako na ukatoa 10,000 unarudishiwa sh 5,000 unaambiwa bia ni 5000,ukitishia uitiwe meneja basi wanakurudishia 3000 wanasema samahani tulisahau!
teh teh tih hyo balaa
 
Siku hizi kila ukienda baa ukatoa elf kumi ukaagiza heinekein au bia yoyote utaletewa chenji then utaskia sina mia tatu. Ukiuliza counter kama unadai chenji utaambiwa hapana. Nathani hii ndo TIP ya kibabe.

Mkuu ni kweli kbs, ila kama vipi hiyo 300 unaagiza fegi!!

Ila ni afadhali ya bar tunajua kipato chao ni cha chini,

kuna benki moja kubwa sana hapa jijini tena ni ya kimataifa nao wana mchezo huo, sijui ndo utaratibu wao!? Wananikera kama nini..!!
 
Mkuu ni kweli kbs, ila kama vipi hiyo 300 unaagiza fegi!!

Ila ni afadhali ya bar tunajua kipato chao ni cha chini,

kuna benki moja kubwa sana hapa jijini tena ni ya kimataifa nao wana mchezo huo, sijui ndo utaratibu wao!? Wananikera kama nini..!!

Itaje hiyo benki tuijue.
 
Ndio mfumo wa uendeshaji nchi hii ulioasisiwa na mzee w ruti nyingi kule magogoni! cheza na ufisadi wewe!
 
Siku hizi kila ukienda baa ukatoa elf kumi ukaagiza heinekein au bia yoyote utaletewa chenji then utaskia sina mia tatu. Ukiuliza counter kama unadai chenji utaambiwa hapana. Nathani hii ndo TIP ya kibabe.

njaa na raha vitu viwili tofauti..
 
Bora hata hao wanaochukua 300!Ukienda Rose Garden Dsm,ukiagiza Safari Lager yako na ukatoa 10,000 unarudishiwa sh 5,000 unaambiwa bia ni 5000,ukitishia uitiwe meneja basi wanakurudishia 3000 wanasema samahani tulisahau!
Hivi kuna baa bado inauza bia elf 2?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom