Mabaamedi siku hizi wajanja....

Mabaamedi siku hizi wajanja....

Ha ha haaaa! 300 mbona nafuu njoeni italian ukishalewa ukitoa elfu 10 utakunywa bia 1 na chenchi hurudishiwi.
 
Kuna fast jet nao pale tazara.. Ukikata ticket may be ikabaki chenji 3000 au 2000 lazima uambiwe chenji hamna..
 
Kweli bana. Mimi nimefanya hiyo tathmini na majibu yangu ni sawa na yako. Kwa majuma kadhaa sasa Niko safarini kikazi, kwa hiyo nikimaliza mizunguko yangu huwa napita kwenye baa sehemu wanazotengeneza nyama choma na msosi (Sinywi pombe kabisa). Kila nikiagiza soda naona mia mbili hazirudi nimefanya mahesabu mpaka sasa ni zaidi ya 20,000
 
Sasa kama hamtoi tip wafanyaje? Heko kina dada akili mukichwa
 
Nikihesabu 300 nilizoacha baa fulani kwa wiki hii nazani zinafika elf ishirini.
siku ingine na wewe unakuja ukiwa huna hela , unagonga then unasepa, mbona hulipi unamwambia nina dola
 
Kama wahudumu wachache hakikisha kila round unamuagiza huyo huyo,kitaeleweka tu.
 
Mjini kweli shule. Ipo tu siku utasikia nakosa laki moja, njoo nyumbani usiku nitakupa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom