Nashukuru Mungu sijafanya zinaa toka mwaka uanze. Mungu ajaalie niendelee hivyo hivyo.
Nililipia gym ili nianze tizi la kupungua na kuahidi kuanza kula kiafya.
Gym nimeenda siku moja tu, tarehe moja January. Tumbo limejaa ndi hapa nilipo kwa ubwabwa, maharage ya nazi, kuku wa kukaanga na lita moja ya juisi ya miwa.
Mungu nisaidie.