Maaskofu wasiingilie mambo ya siasa

Kauli iliyotolewa na Wasira jana inapingana kabisa na msimamo wa Makamba & co. Bila shaka hata baadhi ya wana ccm wameanza kumchoka huyu mzee Makamba.
 
Maaskofu ni sehemu ya jamii, ni wapiga kura, na hivyo basi wanawajibu wa kukemea uovu, au jambo lolote lisilo la haki (kama vile Kuua waandamanaji wasio na silaha Arusha)kwenye jamii yetu. Historia inatuonyesha kwa mfano askofu Desmond Tutu wa Afrika Kusini enzi za apartheid regime alipinga na kukemea utawala dhalimu wa makaburu, ya kubagua, kudhalilisha, kuwafunga na hata kuwaua raia wenye asili ya Kiafrika.Hata kule Egypt wakati wa Farao ilifikia Mungu akamtuma Musa kuwakomboa wana wa Israeli toka kwenye utumwa wa zaidi ya miaka 400.Hivyo nahitimisha kwa kusema ni sahihi kabisa viongozi wa dini kuikosoa na hata kuikemea serikali pale inapokwenda kinyume na utaratibu unaokubalika kijamii.Anyayesema viongozi wa dini wakae pembeni kwenye masuala kama hayo ujue huyo anamatatizo ya uelewa (kufikiri) au anafanya makusudi kwa lengo la kuleta mkamganyiko kwenye jamii.
 
Idadi kubwa ya vyuo mbalimbali vikiwemo vya ufundi na ualimu vimejengwa na kanisa. Hospitali mbalimbali na zahanati zinaendeshwa na maaskofu. Miradi mbalimbali ya umeme vijijini imeanzishwa na kuhudumiwa na maaskofu.
Viongozi wengi hapa nchini wamesoma katika shule na vyuo vilivyojengwa na kanisa.

Nashangaa leo CCM ikisema maaskofu wavue majoho maana yake wafunge shule, vyuo, hospitali, dispensary, nk

Kutujengea vyuo, zahanati, na mashule hakutoi njia maaskofu kuwa above the law na kusema lolote walitakalo. This is wrong na itapelekea nchi katika machafuko nasema tena. Kwanza hizo shule, zahanati nyingi zimejengwa kipindi cha mwinyi na Mkapa under the MOU ya Lowassa na Kanisa sasa mnasema nguvu gani mnayodai nyie? Watanzania sasa hivi sio wajinga jamani maaskofu heshimu matakwa ya watanzania
 
Maaskofu ni sehemu ya jamii, ni wapiga kura, na hivyo basi wanawajibu wa kukemea uovu, au jambo lolote lisilo la haki (kama vile Kuua waandamanaji wasio na silaha Arusha)kwenye jamii yetu. Historia inatuonyesha kwa mfano askofu Desmond Tutu wa Afrika Kusini enzi za apartheid regime alipinga na kukemea utawala dhalimu wa makaburu, ya kubagua, kudhalilisha, kuwafunga na hata kuwaua raia wenye asili ya Kiafrika.Hata kule Egypt wakati wa Farao ilifikia Mungu akamtuma Musa kuwakomboa wana wa Israeli toka kwenye utumwa wa zaidi ya miaka 400.Hivyo nahitimisha kwa kusema ni sahihi kabisa viongozi wa dini kuikosoa na hata kuikemea serikali pale inapokwenda kinyume na utaratibu unaokubalika kijamii.Anyayesema viongozi wa dini wakae pembeni kwenye masuala kama hayo ujue huyo anamatatizo ya uelewa (kufikiri) au anafanya makusudi kwa lengo la kuleta mkamganyiko kwenye jamii.

Hivi leo baraza la maaskofu waseme tunaiunga mkono cdm sababu inania ya kweli kukomboa nchi hii, kisha bakwata wasme sisi tunaiunga mkono ccm maana imeonyesha nia ya dhati kuleta maendeleo, wahindu nao kiongozi wao aseme wanaunga mkono dp kwa sababu zao.
As a great thinker what do you think would happen??
 
Hivi leo baraza la maaskofu waseme tunaiunga mkono cdm sababu inania ya kweli kukomboa nchi hii, kisha bakwata wasme sisi tunaiunga mkono ccm maana imeonyesha nia ya dhati kuleta maendeleo, wahindu nao kiongozi wao aseme wanaunga mkono dp kwa sababu zao.
As a great thinker what do you think would happen??

One word a disaster asante sana Paulss you are a great thinker mkuu.
 
Viongozi wa kuongoza roho za watu. Roho haionekani, ila ni uzima wa kimungu ndani ya watu. Kwa hiyo viongozi wa kiroho huwaongoza watu walio na miili, na maana ya watu wenye miili wanahitaji huduma za msingi za kibinadamu. Viongozi wa kisiasa hushirikiana na viongozi wa kiroho katika kuhudumia hawa raia. Kama viongozi wa kisiana ni wahuni viongozi wa kidini ni wajibu wao kuwashuparia hawa waovu na kuwashinikiza wanasiasa kufuata misingi ya haki katika utendaji na uongozi.
Huwezi kuziongoza roho za watu bila kujali afya zao na maisha yao.
 
Viongozi wa kuongoza roho za watu. Roho haionekani, ila ni uzima wa kimungu ndani ya watu. Kwa hiyo viongozi wa kiroho huwaongoza watu walio na miili, na maana ya watu wenye miili wanahitaji huduma za msingi za kibinadamu. Viongozi wa kisiasa hushirikiana na viongozi wa kiroho katika kuhudumia hawa raia. Kama viongozi wa kisiana ni wahuni viongozi wa kidini ni wajibu wao kuwashuparia hawa waovu na kuwashinikiza wanasiasa kufuata misingi ya haki katika utendaji na uongozi.
Huwezi kuziongoza roho za watu bila kujali afya zao na maisha yao.

Mkuu roho ameumba mungu na inajenga kitu kinaitwa maadili. Maaskofu na masheikh kazi yao ni kuchunga hizi roho ndani ya viwili vya wanaadamu viwe ni vyenye maadili mema. SIASA NI ITIKADI NA MITAZAMO AMBAYO INAPELEKEA KUTENGENEZA SERIKALI SASA KAMA MAASKOFU WANA ITIKADI YA KISIASA NA CHAMA FULANI BASI HAO SI VIONGOZI WA KIROHO NA HAPO NAMUUNGA MKONO MARY CHITANDA KUWA WAVUE MAJOHO NA WAINGIE KATIKA ULINGO WA SIASA.
 
Ukombozi wa binadamu toka kuumbwa kwake hadi hii leo umebeba dhana kubwa ya jinsi uhuru wa binadamu ulivyo na thamani na unapaswa kuheshimiwa. Musa aliwatoa waisrael kwa Pharao kwasababu Mungu alipendezwa kuwaona watu wale wakiwa huru, na hivyo ndivyo ilivyokuwa hata baada ya kiburi cha Pharao.
Katika nchi ambayo sheria na haki zinaheshimiwa na mamlaka zote, hakuna sababu ya viongozi wa dini kujiingiza kwenye midahalo ya kisiasa. Leo hii tunaona kwa hila kabisa baadhi ya vyama vya kisiasa vinataka kutumia hila kushika dola na kukataa matakwa ya kidemokrasia ya wananchi. Kwa vyovyote vile ilivyo, vyama hivi vimeanza kuuchezea kwa makusudi uhuru wa watu kuchagua wanaowataka wawaongoze. Ntawashangaa sana viongozi wa dini wakikaa kimya na kuwaachia wanasiasa hawa waroho tulionao wakiendelea ku manipulate mambo jinsi wanavyotaka.
Kazi yao kubwa ni kusimamia ukweli hata ikibidi ncha za upanga zipitie vichwa vyao ili kusudi sote tujue kwa uhuru unakuja kwa jasho.
 
Very well said. Maaskofu au viongozi wengine wa dini hawawezi kuwa watu wakusema "Yes sir" in everything. Kama wanazingatia misingi ya kazi, ni lazima wakemee uovu na sio kusifia tu. Kikwete anapenda kusifiwa tu hata anapokua mzembe hilo atalipata CCM not outside that.


Maaskafu Sio Wananchi? Hao Maaskofu Walipo Kuwa Wanakwenda Ikulu na Sherehe za CCM, Haikua Uchanganyaji wa Siasa? CCM Msibabaishe Wananchi na Ujinga Wenu wa Kutaka Kufunga Midomo Maaskofu na Wapenda Imani Zao. JK Anataka Waislamu Wajione Kama Wakristo Hawampendi JK Kwa Sababu ya Imani Zao. Ujinga Mtupu, Nakumbuka JK Alikuwa Anapenda Sana Sifa za Maaskofu Leo Wamemgeuka kwa Wizi Wake na Sifa Mbaya za Uongozi, Anaanza Chuki Nao. Watanzania Hatuchagui Kiongozi kwa Kuangalia Dini Zao na JK Alipata Kura Nyingi Sana Hawamu ya Kwanza na Sasa Tume Mgundua ni "JK is One of the Corrupt Person in Tanzania and Has Very Very Poor Leadership Skills" It's Over CCM...
 
Itachukua miaka takribani 45 Tanzania kukua kisiasa. Haya tuyaonayo sasa ni mpito tuu
 
Kuna mchangiaji ametoa mfano mzuri sana, Desmond Tutu ni askofu kule S.A, amechangia vipi katika siasa za kwao, Haya, ssm ilijua kabisa kwamba mama Lwakatare ni mchungaji wa kanisa, kwanini walimpa ubunge? Hii inakanganya wananchi, na ssm wajue kabisa kwamba Mababa Askofu wanapotoa matamko ni matamko yaliyochujwa kwa kina, Hakuna Askofu wa form four wala six, ukiwaangalia wote karibu elimu yao ya chini ni PHD, tusiwabeze bana hata Kikwete analijua hilo. Ndo maana hata wakati wakumsimika Askofu kule Mwanza alituma ujumbe uliowakilishwa na Wasira. Hiyo si Serikali kuchanganya dini na serikali? Acheni ubabaishaji, tukubaliane kuwa mkwere JK mwizi na hafai. Hivi watu wakiwa na njaa watasali au wataswali? Kama hali ya kisiasa si shwari kwa maana vurugu zinazotisha ambazo zinapelekea watu kufa, Hivi hao maaskofu au mashehe watawasalisha/waswalisha akinanani?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom