Maaskofu wa mitaani, mjipime

Maaskofu wa mitaani, mjipime

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,408
Reaction score
14,113
Katika miaka ya hivi karibuni kumezuka kundi la populist preachers ambao wamejipa uaskofu bila kuwa na sifa ya cheo hicho.

Kuna wazee wa upako, maaskofu wa misukule, wale wa milima ya moto, hata wale wa saa ya ukombozi, kile tunachoona sasa ni udhalilishaji wa Ukristo na dini kwa ujumla. Wengi wao lengo ni moja tu; kujipatia kipato kupitia dini na mahubiri na hakuna kinginecho.

Mimi si Mkatoliki lakini kitendo cha "Askofu" Gwajima kumkashifu Askofu Pengo hadharani ni cha kulaaniwa. Kitendo hicho peke yake ndio kinaonyesha mioyo ya hawa maaskofu wa mitaani, wasio na usomi au wito wowote wanavyoshindwa kwa simple test ya uvumilivu na busara.

Gwajima amejifedhehesha!
 
Hao wengi ni wale Yesu aliowaita manabii wa uongo. Wanachokitafuta ni fedha na publicity. Bahati mbaya wanavipata na wanasiasa wanajipanga foleni kuwafuata! Huyo Gwajima anawezaje kujilinganisha na pengo si kwa elimu, hekima wala ufahamu wa mambo ya dini ya kikristo!
 
Hawa wana JF hebu nilikoroge!!
Is it a coincidence?
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    68.5 KB · Views: 1,083
Hawa wana JF hebu nilikoroge!!
Is it a coincidence?

Tangulini kiongozi au mchungaji anaanzisha kundi lake na kisha kujisimika kama mchungaji hatimaye kujitawaza askofu? Hilo ni kundi alilolianzisha na ndiye mwenye sauti na hakuna wakumwadabisha. Atakapofifia na kanisa linafifia kwa sababu lipo na linaendeshwa na yeye si jumuiya.
 
To me it doesn't matter as long as they remember that:
"HIGHER POWER COMES WITH A HIGHER RESPONSIBILITY" ............................. SPIDERMAN MOVIE
Katika miaka ya hivi karibuni kumezuka kundi la populist preachers ambao wamejipa uaskofu bila kuwa na sifa ya cheo hicho.
Kuna wazee wa upako,maaskofu wa misukule,wale wa milima ya moto,hata wale wa saa ya ukombozi kile tunachoona sasa ni udhalilishaji wa Ukristo na dini kwa ujumla.
Wengi wao lengo ni moja tu-kujipatia kipato kupitia dini na mahubiri na hakuna kinginecho.

Mimi si mkatoliki lakini kitendo cha "Askofu" Gwajima kumkashifu Askofu Pengo hadarani ni cha kulaaniwa.

Kitendo hicho peke yake ndio kinaonyesha mioyo ya hawa maaskofu wa mitaani,wasio na usomi au wito wowote wanavyoshindwa kwa simple test ya uvumilivu na busara.

Gwajima amejifedhehesha!
 
Ni kitendo cha kulaaniwa na nani?! Laani mwenyewe kwani ni lazima ulazumishe na wengine walaani?!
 
Mungu ndo atachambua ngano na magugu wakati wake ukifika. Yeye ndo anawajua watu wake!
 
Mwambie pia Pengo aache unafiki. Kama alikuwa hakubaliani na hoja za maaskofu kwa nini alisaini waraka ule usomwe kwenye makanisa yake?
 
ila naye pengo kimbelembele mno, kahhh. inafaa atulie
 
Mwambie pia Pengo aache unafiki. Kama alikuwa hakubaliani na hoja za maaskofu kwa nini alisaini waraka ule usomwe kwenye makanisa yake?
Mimi sikubaliani n Askofu Pengo lakini njia aliyotumia "Askofu" Gwajima haina upako.
 
Katika miaka ya hivi karibuni kumezuka kundi la populist preachers ambao wamejipa uaskofu bila kuwa na sifa ya cheo hicho.
Kuna wazee wa upako,maaskofu wa misukule,wale wa milima ya moto,hata wale wa saa ya ukombozi kile tunachoona sasa ni udhalilishaji wa Ukristo na dini kwa ujumla.
Wengi wao lengo ni moja tu-kujipatia kipato kupitia dini na mahubiri na hakuna kinginecho.

Mimi si mkatoliki lakini kitendo cha "Askofu" Gwajima kumkashifu Askofu Pengo hadarani ni cha kulaaniwa.

Kitendo hicho peke yake ndio kinaonyesha mioyo ya hawa maaskofu wa mitaani,wasio na usomi au wito wowote wanavyoshindwa kwa simple test ya uvumilivu na busara.

Gwajima amejifedhehesha!

Halafu Mavazi ya Kikuhani ni SUTI.. HHHHHHHAHHHAAA
 
kwan sifa za kuwa askofu n zipi? kwa kuwapima kwa vigezo vp hadi kuitwa wa mitaani? mleta hoja acha ushabiki wa kijinga........zungumzia kile kilichoamuliwa na maaskofu alaf kukarukwa na pengo.....hyo ndo hoja huo ----- mpelekee mmeo
 
Katika miaka ya hivi karibuni kumezuka kundi la populist preachers ambao wamejipa uaskofu bila kuwa na sifa ya cheo hicho.
Kuna wazee wa upako,maaskofu wa misukule,wale wa milima ya moto,hata wale wa saa ya ukombozi kile tunachoona sasa ni udhalilishaji wa Ukristo na dini kwa ujumla.
Wengi wao lengo ni moja tu-kujipatia kipato kupitia dini na mahubiri na hakuna kinginecho.

Mimi si mkatoliki lakini kitendo cha "Askofu" Gwajima kumkashifu Askofu Pengo hadarani ni cha kulaaniwa.

Kitendo hicho peke yake ndio kinaonyesha mioyo ya hawa maaskofu wa mitaani,wasio na usomi au wito wowote wanavyoshindwa kwa simple test ya uvumilivu na busara.

Gwajima amejifedhehesha!

tuwambia kila siku hao ni waganga wa kienyeji hamsikiiii kupitia mgongo wa yesu
 
We unaonyesema baado hujui Ukristo ndo maana hujajua umeandika nini zaidi ya kufurahisha hadhira. Hii inaonyesha we si wa Kiristo. Me sikukubaliana na alichofanya Pengo kwa 100%. Ni msaliti wa Maagano. Kama sehemu ya jopo la maamuzi hakusitahili kukana yaliyokubalika.

Huku ni kujipendekeza kwa CCM.

Anasitahili kukaywa.

Parokia zote za Makanisa ya Katoliki yalitangaza walaka ule. Yeye alikuwa wapi??


Katika miaka ya hivi karibuni kumezuka kundi la populist preachers ambao wamejipa uaskofu bila kuwa na sifa ya cheo hicho.
Kuna wazee wa upako,maaskofu wa misukule,wale wa milima ya moto,hata wale wa saa ya ukombozi kile tunachoona sasa ni udhalilishaji wa Ukristo na dini kwa ujumla.
Wengi wao lengo ni moja tu-kujipatia kipato kupitia dini na mahubiri na hakuna kinginecho.

Mimi si mkatoliki lakini kitendo cha "Askofu" Gwajima kumkashifu Askofu Pengo hadarani ni cha kulaaniwa.

Kitendo hicho peke yake ndio kinaonyesha mioyo ya hawa maaskofu wa mitaani,wasio na usomi au wito wowote wanavyoshindwa kwa simple test ya uvumilivu na busara.

Gwajima amejifedhehesha!
 
Back
Top Bottom