Hivi hii taarifa imetayarishwa na Chadema nini?? Mbona maneno mengi ndiyo yale yale yanayotumiwa na Chadema??
Aaah nilikuwa nimesahau kuwa KKKT waliombwa na Lowassa wamchague kwa kuwa ni zamu yao kuongoza nchi hii. Okay tumewasikia na kuwaelewa!
Na mimi na nukuu .kudhalilisha kauli ya nia njema eti maendeleo hayana chamaNanukuu" Kama maendeleo hayana CHAMA iweje MTU ajiuzulu nafas yake ya uongozi kujiunga chama kingine ili kuleta maendeleo"? salamu hizi zimekua wazi na ukweli so wahusika wajitafakari.
Kwani anaposema wamuombee anawaambia viongozi wa kiprotestants? Yeye anawaambia viongozi wa dini anayoabudu acheni kujipendekeza, sisi tunamuombea kila siku, na akiona amekosea Mungu anatubu kwa utaratibu wa kanisa analoabudu nyie mdeal na waumini wenu kama akina Lwsa, Sumye, Mbwawe n.k.Mh raisi kwa maswala ya imani siyo muumini wenu.Nyinyi makada wa Lumumba, viongozi wa dini wakitoa tamko la kuukosia huu utawala wa awamu ya 5 mnawaita Chadema
Lakini hapo hapo Mwenyekiti wenu haishi kuwaomba viongozi hao hao wa dini wamuombee
Hivi inawezekanaje uwaombe viongozi wa dini wakuombee, halafu viongozi hao hao wanapokwambia utubu, unawaletea watu wa TRA wakuchunguze kwa "kulazimisha" makosa??
Kiongozi mzalendo si mbadala wa KATIBA.Kiongozi mzuri si mbadala wa KATIBA MPYA- Point taken
Nukuu: kiongozi mzalendo haiwezi Kuwa mmbadala wa katibaSafi sana viongozi wa KKKT
Kwa tamko hili mmeonyesha uzalendo wa hali ya juu kwa nchi yenu
Tunapaswa watanzania wote bila kujali itikadi zetu za kisiasa, tuhakikishe tunapaza sauti zetu kwa nguvu zetu zote kuhakikisha kuwa utawala huu unarejea kwenye utawala wa Katiba, na siyo utawala wa kutoa matamko kwenye majukwaa ya kisiasa na kuhesabika kuwa matamko hayo kuwa sheria
Mbona usemi umefanana na waraka wa kanisa katoliki uliyotelewa majuzi !!?? Sana sana tunasubiri waraka wa Waislam na makanisa mengineyo kanisa la Pentekoste natumaini ule waraka wa Kakobe unatosha .Hivi hii taarifa imetayarishwa na Chadema nini?? Mbona maneno mengi ndiyo yale yale yanayotumiwa na Chadema??
Aaah nilikuwa nimesahau kuwa KKKT waliombwa na Lowassa wamchague kwa kuwa ni zamu yao kuongoza nchi hii. Okay tumewasikia na kuwaelewa!
Hawa wajamaaa wana stress kila sehemu.Nenda kasome waraka wa RC.
Yani CCM kila taasisi inainyooshea Vidole bado waislam tunasubiri waraka wao.
Jiwe linatumia kodi za wananchi kununua wapinzani.Nanukuu" Kama maendeleo hayana CHAMA iweje MTU ajiuzulu nafas yake ya uongozi kujiunga chama kingine ili kuleta maendeleo"? salamu hizi zimekua wazi na ukweli so wahusika wajitafakari.
26 mbona wachache sanaUtawachunguzaje wote 26?
Kwani askofu niwemugizi ni kkkt ?ule waraka ulioto 11/2/2018walitoa nani ?fatilia mambo kijana sawa hata waislamu hili jambo nilakitaifa akuna alie salamaHilo ndilo la msingi kuwasikia na kuwaelewa mengine yote ni bla bla.
Mkuu heshimu Imani za watu. Acha Fallacy of generalization.Hivi hii taarifa imetayarishwa na Chadema nini?? Mbona maneno mengi ndiyo yale yale yanayotumiwa na Chadema??
Aaah nilikuwa nimesahau kuwa KKKT waliombwa na Lowassa wamchague kwa kuwa ni zamu yao kuongoza nchi hii. Okay tumewasikia na kuwaelewa!