Maaskofu katoliki kataeni rushwa ya wanasiasa

Maaskofu katoliki kataeni rushwa ya wanasiasa

Gulwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2008
Posts
10,990
Reaction score
17,049
Maaskofu wa Kenya walikataa na kumrudishia rais Ruto pesa aliyoitoa kusaidia kanisa kwa kuogopa kuweka uhuru wao rehani.

Leo tumesikia Samia akimpa askofu wa Bagamoyo zawadi ya milioni 20. Hii sio rushwa ya kumfunga mdomo na kupora uhuru wake? Igeni wenzenu wa Kenya
 
Hii ni rushwa Kanisa KATOLIKI la Kenya lilisema hatuwezi kupokea fedha ili kumnufaisha mwanasiasa ,Kanisa katoliki tunataka taarifa ya kanusho kupokea fedha za Samia ,KANISA KATOLIKI HAWANA SHIDA NA FEDHA NAOMBA MZIRUDISHE KWA UWAZI
 
Back
Top Bottom