Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Hatutaki kusemewa na kanisa wala msikiti ,kwani wengi wao hawa wanakula sahani moja na vigogo wa serikalini,ni wanaofanya kazi nyuma ya pazia.
Tunachotaka ni vyama vya siasa tu, ndio viwe mstari wa mbele katika kuvaana na serikali ,hawa wadini wakae pembeni ,ni vyama kwa vyama mpaka kieleweke.
Tunachotaka ni vyama vya siasa tu, ndio viwe mstari wa mbele katika kuvaana na serikali ,hawa wadini wakae pembeni ,ni vyama kwa vyama mpaka kieleweke.