Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
abraham lincolin alipata kusema,,,,,,nyumba inayojibomoa dhidi yake haiwezi kusimama kamwe,,,,,na sasa serikali imeanza kijibomoa Dhidi yake,,,naomba ianguke mapema hata sasa,time for liberation..............