mjitabulinga
Member
- Sep 14, 2019
- 54
- 64
Jahuaika katika haya maswala ya lushwa ebu mliangalieni hili jamani,nimekuwa nikipita hii njia ya msasani kwenda masaki,pale mbele kotuo cha cocacola kuna maaskali wa usalama pale wanakula rushwa wazi wazi,unakuta wanasimamisha dala dala awakagui ila konda anashuka na kwenda kumpa ela afu analudi gari inaondoka,inaonekana ndio kamchezo kao maana kila siku asbuhi wapo pale,Ebu mjalibu kuchunguza hili.
RUSHWA NI ADUI WA HAKI.
RUSHWA NI ADUI WA HAKI.