uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,990
- 8,367
Kusema kweli Rais Samia alifanya makosa makubwa sana kuwaondoa wamasai kwenye ardhi yao ya asili
Ni km leo uende Pemba uwahamishe wapemba kuwapeleka mafia,ardhi ya wapemba wapewe waarabu
Ni mwaka sasa toka wamasai wasombwe kwa nguvu kwenye malori ya mizigo na kupelekwa ugenini
Uko ugenini wamebaki wamasai wazee tu wasio weza kutembea ila wengi wamerudi arusha wamekuwa wakiishi kwa kutanga tanga hawana kwao tena
Wengi wanalia kuona walipofukuzwa kuna wageni wanakanyaga ardhi yao huku wao wasiruhusiwe kusogeza pua
Rais Samia tunakuomba warudishie wamasai ardhi yao,usiogope kuwaondoa hao wageni
Ulichofanya unatengeneza Taifa la kulipa kisasi
Ipo siku kiongozi mkuu wa nchi atatoka kaskazini atataka kulipa kisasi atataka naye awaonjeshe machungu wazazinzibari kuwahamisha kwao kwa nguvu
Tunaomba Rais samia uhuru ni bora kuliko fedha
Ni bora kulala njaa kwenye ardhi ya mababu zetu kuliko shibe ugenini
Tunakuomba sana warudishie wamasai ardhi yao na uwaondoe wale wanaokuja kimya kimya
Ni km leo uende Pemba uwahamishe wapemba kuwapeleka mafia,ardhi ya wapemba wapewe waarabu
Ni mwaka sasa toka wamasai wasombwe kwa nguvu kwenye malori ya mizigo na kupelekwa ugenini
Uko ugenini wamebaki wamasai wazee tu wasio weza kutembea ila wengi wamerudi arusha wamekuwa wakiishi kwa kutanga tanga hawana kwao tena
Wengi wanalia kuona walipofukuzwa kuna wageni wanakanyaga ardhi yao huku wao wasiruhusiwe kusogeza pua
Rais Samia tunakuomba warudishie wamasai ardhi yao,usiogope kuwaondoa hao wageni
Ulichofanya unatengeneza Taifa la kulipa kisasi
Ipo siku kiongozi mkuu wa nchi atatoka kaskazini atataka kulipa kisasi atataka naye awaonjeshe machungu wazazinzibari kuwahamisha kwao kwa nguvu
Tunaomba Rais samia uhuru ni bora kuliko fedha
Ni bora kulala njaa kwenye ardhi ya mababu zetu kuliko shibe ugenini
Tunakuomba sana warudishie wamasai ardhi yao na uwaondoe wale wanaokuja kimya kimya