boma2000
JF-Expert Member
- Oct 18, 2009
- 3,280
- 310
Maandamano yaliyoanza Algeria ya kumwondoa rais wake yameota mbawa baada ya serikali kumwaga polisi wengi mitaani kuwashughulikia waandamanaji. Hii inaonyesha Waalgeria ni waoga sana katika mataifa ya Kiarabu na hawakuwa na dira yoyote, walifuata mkumbo tuu baada ya kuona Tunisia na Misri wamefanikiwa kuwatoa watawala wao dhalimu